Za milimo?
Unawatambua wale watu ukiwapigia simu hawakawii kukuaga utafikiri wao ndio wamepiga....mnasalimiana vizuri, mara baada ya salamu...enhe nipe stori au "mamo mengine vipi?"
Upande wa pili wa Simu(uliempigia) anaanzisha stori, unamsikiliza ukingonjea kwa hamu zamu yako ije ili uongezee kwenye stori husika (uongee).....yeye anakuambia " eh bwana eh, ngoja nitakupigia" halafu kimyaa.
Baada ya Wiki kadhaa unampigia tena na kabla stori hazijachanganya yeye yulee "nitakupigia baada ya dk 20"....ndio imetoka hiyo mpaka umtafute tena.
Mtu hutakiwi lakini hukomi mpaka mtu akuambie "sitaki Urafiki/Ujamaa/kujuana na wewe"....baadhi ya watu wanakupa "ujumbe" ili "muachane" vizuri bila kusutana, ukikimbiwa once na "nitakupigia baadae"....subiri mpaka akupigie (obviously hatokupigia).
Unajua kuna watu wanapenda kuwa tegemezi kifikra.....hata sijui kama inaleta maana kwenye nilichokigusia hapo juu.
Kuna baadhi yetu tunapenda kuonekana Wema, tunajali hata mahali ambapo hapahitaji Wema wala kujaaliwa. Huitaji kushi ili kufurahisha watu(kila mtu kaja kivyake/kazaliwa kivyake) sasa ishi kufurahisha nafsi yako kwani ukifa utazikwa peke yako kama ulivyokuja.
Hopefully kuna walikutangulia wa kutosha angalau wakupokee huko utakapofikia.....but wait! Ukienda(kufa) unaenda kuanza maisha "mapya"! Au?!!
Babai.
Mapendo tele kwako...
Unawatambua wale watu ukiwapigia simu hawakawii kukuaga utafikiri wao ndio wamepiga....mnasalimiana vizuri, mara baada ya salamu...enhe nipe stori au "mamo mengine vipi?"
Upande wa pili wa Simu(uliempigia) anaanzisha stori, unamsikiliza ukingonjea kwa hamu zamu yako ije ili uongezee kwenye stori husika (uongee).....yeye anakuambia " eh bwana eh, ngoja nitakupigia" halafu kimyaa.
Baada ya Wiki kadhaa unampigia tena na kabla stori hazijachanganya yeye yulee "nitakupigia baada ya dk 20"....ndio imetoka hiyo mpaka umtafute tena.
Mtu hutakiwi lakini hukomi mpaka mtu akuambie "sitaki Urafiki/Ujamaa/kujuana na wewe"....baadhi ya watu wanakupa "ujumbe" ili "muachane" vizuri bila kusutana, ukikimbiwa once na "nitakupigia baadae"....subiri mpaka akupigie (obviously hatokupigia).
Unajua kuna watu wanapenda kuwa tegemezi kifikra.....hata sijui kama inaleta maana kwenye nilichokigusia hapo juu.
Kuna baadhi yetu tunapenda kuonekana Wema, tunajali hata mahali ambapo hapahitaji Wema wala kujaaliwa. Huitaji kushi ili kufurahisha watu(kila mtu kaja kivyake/kazaliwa kivyake) sasa ishi kufurahisha nafsi yako kwani ukifa utazikwa peke yako kama ulivyokuja.
Hopefully kuna walikutangulia wa kutosha angalau wakupokee huko utakapofikia.....but wait! Ukienda(kufa) unaenda kuanza maisha "mapya"! Au?!!
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments