Wapi kuna nafuu?
Najua utasema nyumbani kwasababu unajipangia nini cha kufanya wakati gani......wakati Kazini haipo hivyo, unafanya jnachotakiwa kuganya kwa wakati husika.
Pamoja na kuwa unajipangia kazi zako ukiwa nyumbani bado kazi hizo zinachosha zaidi hasa ukiwa na watu to kuliko yule ana kwenda Kazini nje ya nyumbani.
Unafuu wa kukazika nyumbani hutoweka kabisa kwasababu hakuna kutoka nje ya mahali pako pa kazi na kamwe hakuna Likizo.
Angalia anaekazika Kazini nje ya nyumbani ana mahali pa kwenda ambako ni nyumbani......na ukifikika huko unapokelewa kwa furaha na watoto wenye afya njema, unakuta nyumba safi, chakula kimeandaliwa na mengi neyo.
Ukipiga kazi I mean ukikazika vya kutosha unachukua day off au likizo kabisa kutoka mahali pako pa kazi na kwenda kupumzika nyumbani ambako ni mahali pa kazi kwa mwenzio asiekujua na day off walaaa Likizo.
Daah mlango si umegongwa, kufungua nakutana na jirani kaja jitambuliaha as ndio kahamia mtaani.....hayo ma hug niliyopewa sasa.....Full ananuka Tumbaku yack!
Nimepoteza track ya nilichokuwa nazungumzia na kuanza kusoma upya sitaki so bora nibofye publish tu kesi iishe.
Kwaheri.
Comments