Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Yaya

Matumizi ya Tablets kwa watoto....

Mambo! Nitakuwa naandika chochote kinachonijia kichwani kwa wakati huo.....kuanzia malezi ya wanangu, habari itakayogusa Mtima wangu (usijali sio habari za Tz) na siku husika kwa ujumla. Hali ya hewa leo ni ya Unyevu na Mvua kwa mbali, Wataalam na wachunguzi wa huku wanalalama kuwa watoto wasitumie Tablets kwa vile zinawafanya wasiweze kutumia mikono kuandika au kuchora kama ilivyokua kwetu enzi zile. Lakini Enzi zetu si zimepita? hizi enzi zao waacheni ila tuwe responsible na wanachokifanya kwenye Tables, Fundisha mwanao....usitegemee mtu mwingine (Yaya/Mwalimu) akufundishie just because you pay them to do so. kwaheri kwa sasa.