Skip to main content

Posts

Showing posts from January 4, 2015

Men are Stronger than Women...

Kweli kabisa.... Wanaume ni Imara na wenye Nguvu "kimwili" (Misuli) kuliko sisi Wanawake lakini ukweli ni kwamba wengi wao ni "wadhaifu" sana kwa ndani (emotionally). Hukimbia matatizo au Changamoto za kifamilia badala ya kukabiliana nazo kwa ushirikiano na wake zao. Wapo radhi kuanza upya kuliko kukabiliana na changamoto za "life situations" mf, Magonjwa, Vifo, Ulemavu, ukosefu wa Kipato(pesa) na mengine yote ambayo sio "choice". Mwanamke humvumilia mwanaume kwa yote hayo niliyoyataja hapo juu na mengine ambayo ni "life choice" (hayavumiliki) ya Mume mtu....mf Ulevi, parting, Ufuska, Ubahili n.k. Uimara wetu ki-emotonal na ile motherly (sijui nini) tuliyoumbwa nayo hutufanya tubaki kwenye Ndoa/Uhusiano na kuwauguza wenzetu.....hali hii huwafanya baadhi yao kwenye Jamii kuamini kuwa ni "jukumu la mwanamke". Ukweli ni kuwa sio "jukumu" bali ni Umara wetu ka