Skip to main content

Posts

Showing posts from July 20, 2014

Glasgow 2014....

Siku ya Pili ya Mashindano ya Jumuiya ya Madola, nipo eneo la Tukio kwa Wiki 2....interested?....me neither! Kama umewahi kufanya kazi au kutembelea Jiji la London au NY au hata Dar(City Centres sio Keko sijui Masaki huko, nazungumzia "kiini")....ukija Glasgow bana.....ka' sio Jiji, yaani hakujachamgamka kiviiiiiile(ka' Jiji)..... Ila kuna kama "fun fair" kwa kids(sijui wanaitaje bana), nadhani hiki ndicho kitakachonileta huku mara kwa mara. Michezo imeingiliwa na watu kutoka "Makabatini" bwana, wamefanya watu tushindwe ku-concentrate na Mashindano.....yaani "ukorosho" wao una distract kimtindo....maana wengine tulikuwa tunapenda Mbio na Kuogelea....kuangalia "zile maumbile" za Wakaka pale kati na Miguu (au ni mimi tu nakua pervert wa Kike....hihihihi). Siku hizi bana mtu unajisikia vibaya hata kuangalia mchezaji, akili kama inahamia kwenye akifanyacho private! Kwani lazima watuambie wao wana

Weusi wa Kwapa na Vipele Makalioni....

Well Weupe huwa hawawi na weusi kwapani bali Unjano au Ukahawia....wale wenye nywele nyeusi sasa ni another case. Kuhusu Vipele makalioni havina Ubaguzi, raha ya vipele vile ni kwamba havionekani kwa Macho....utajua unavyo kwa kujipapasa, au gusa ngozi yako....inakuwa kama ina "mikwaruzo" wajua ile nanihii ya kupiga Msasa mbao? Yep ndio feels kama hivyo! Usione haya sio Ugonjwa na wala sio Tatizo kiafya, ni mambo ya Urembo tu na yawapata watu mbali mbali Ulimwenguni.....kama urembo sio issue kwako basi baki na Mapele yako na uyafurahie! Mimi nilikuwa nayo na siyapendi na ndio maana nataka nikupe mbinu ya "mapambano" ili uwage na Makalio "smooth"....Sasa hapa nikuambie kuhusu Vipele Makalioni au weusi wa Kwapa?.....Yote? Hamna shida twende in to them*. Vipele: Sijui inasababishwa na nini(sio mtaalam mie) ila nahisi ni kutoijali ngozi ya sehemu hiyo ndio inachangia....huisugui ukioga, huilainishi kwa mafuta, unavaa chupi za Mpira badala ya Pamba, huifanyishi

Chuki....

Ni sehemu ya Ubinaadamu si eti! Kama unaweza kupenda basi ujue unaweza kuchukia pia....zote ni hisia! Mie bana ukiniudhi kwa kiwango cha kutosha na ukijaribu kuingilia Maisha yangu binafsi nakuchukia wewe, Familia yako, Ukoo wako, Jamii yako, Kabila lako na Nchi yako kwa Ujumla. Yaani watu wanaotoka huko unakotoka wewe wote wanakuwa Maadui, yaani siwaPENDIIIIII mf ni Wanajeria.....Mungu anisamehe ila daa! Nawachukia balaa.....wengine ni wale Majirani zetu waliozima ka' umeme wa Tanesco (what does it mean) ambao hatutaniani na Kiswahili kwao ni sawa na kuwa Malaya the Nigerian of East Africa....BOY I HATE THEM. Alafu kuna Wazimb hihihihihihi nikupe stori? Ni washenzi.....hapa hapatoshi kwa stori, maana ninazo nyingi. Huyo mimi, halafu kuna wewe (sio wewe bali yule)....ambae unamchukia tu mtu wakati wala humjui, hujawahi kukutana nae na wala hajawahi kujihusisha na lolote linalokuhusu! Unaanza Vita!.....aah! Kuna jamaa namkumbuka alikuwa namuandama mwenzie kwa chuki ya wazi kabisa ha