Skip to main content

Posts

Showing posts from December 7, 2014

Mwanamke Kujitegemea Kiuchumi....

Ndio kukoje? Unakumbuka enzi nipo Shule ya Msingi(just imagine...) enzi akina Taji Lihundi, Deo Mshigeni, Ramkim Ramadhani(RIP), Sunday Shomari....kabla ya akina JD hawajaja mjini....ndio walikuwa "the coolest"....Educated (well that is what I (myself) thought) watu kuwasikiliza na kuchukua "maushauri yao"....waliyokuwa wakiyasoma Ebony Magazine (sina hakika nimesema tu). Taji Lihundi zake zilikuwa "I want a girl who can speak at lest 3 languages, independent, have a job and beautiful" by 3 languages hakumaanisha Kinyamwezi, Kihehe na Kizaramo....alitaka Malugha ya mbele huko. Sasa huyu Baba(alikuwa mKaka then) ali-influence sana kwa akina sisi (Teenagers) enzi hizo bana, tulipofika miaka 20na na kuanza shughuli za kupenzika tukaanza kukimbia Vijana wanaoonyesha wapo sawa "kiuchumi" ili tusionekane "tegemezi". Sasa kutokana na "muonekano" wako wa Independent....unapendeza, unavaa vitu vikali nini na nini....wanaonyesha interes