Skip to main content

Posts

Nyerere angekuwepo.....

Tungekuwa mbali kama Taifa sijui Nchi.....yeah in your dreams. Kama haukufika popote alipokuwepo unategemea ungekuwa wapi leo hii(Angekuwa mzee sana anyway)?  Enzi zake kulikuwa na changamoto tofauti na changamoto ulizonazo miaka hii so kill the "Nyerere angekuwepo" na pambana na changamoto zinazokukabili kivyako. Kwenye maisha ya mmoja mmoja bado watu wana ile "mama zetu wasingesamehe baba zetu walipo cheat ndoa zao zisingekuwa za miaka mingi".....well huo ulikuwa ubwege wao Enzi hizo. Halafu urefu wa umri wa ndoa sio kelele zote cha Mapenzi.....Kuna sababu nyingi kwanini watu wana baki kwenye ndoa Chafu na mapenzi au furaha sio moja wapo. Wanawake wa leo sio mabwege kwasababu challenges walizokuwa nazo mama zenu hazipo au hazina muhimu tena kwenye jamii. Challenges zetu ni mpya na ni tofauti kwasababu wengi wetu tumeondoa mavumbi (tume elimika). Ni mazoezi mabaya kurudi nyuma na kuangalia maisha ya watu wa era ile walivyokuwa na kujaribu kufanya kama w

Bichwa kubwaaa tiny brain......

Women....sio kwamba tuna mabig head bana ni nywele tu hizo. ...Pia hatuna tiny Ubongo isipokuwa sehemu kubwa ya Ubongo wetu inatumika. Yaani tunatunza mambo mengi sana na hufanya tuwe na kumbukumbu nzuri kuliko wenzetu.... si wajua Data zikikaribia kujaa kwenye PC au Simu which is PC. ...isn't it?.....speed inapungua. Unajikuta unakuwa mvivu kufikiria kwa undani kabla hujasema matokeo yake unatoa lolote halafu unagundua neno likitoka halirudishiki.....unabaki kujuta au ku justify. Wanaume ambao walikaribia wanawake ni wale waliotumia 1/3 ya Ubongo wao na baadhi yao ni JK Nyerere, Gandhi na B Mkapa(no Nkapa really I just liked him as prezzo). Kama hutaki kuamini nikuambiacho kuhusu matumizi yetu ya Ubongo nenda kaGUGE. (Googling......kaguge usisahsu you heard it here 1st). Binafsi huwa nafikiria huku naongea au kuandika na matokeo yake huwa si justfy bali nasimamia nilichokisema na kukusaidia kunielewa. So wacha uvivu, soma magazeti ambayo ni broadsheet sio tabloids. ...wacha bl

Kukazika Kazini na Kukazika nyumbani....

Wapi kuna nafuu? Najua utasema nyumbani kwasababu unajipangia nini cha kufanya wakati gani......wakati Kazini haipo hivyo,  unafanya jnachotakiwa kuganya kwa wakati husika. Pamoja na kuwa unajipangia kazi zako ukiwa nyumbani bado kazi hizo zinachosha zaidi hasa ukiwa na watu to kuliko yule ana kwenda Kazini nje ya nyumbani. Unafuu wa kukazika nyumbani hutoweka kabisa kwasababu hakuna kutoka nje ya mahali pako pa  kazi na kamwe hakuna Likizo. Angalia anaekazika Kazini nje ya nyumbani ana mahali pa kwenda ambako ni nyumbani......na ukifikika huko unapokelewa kwa furaha na watoto wenye afya njema, unakuta nyumba safi, chakula kimeandaliwa na mengi neyo. Ukipiga kazi I mean ukikazika vya kutosha unachukua day off au likizo kabisa kutoka mahali pako pa kazi na kwenda kupumzika nyumbani ambako ni mahali pa kazi kwa mwenzio asiekujua na day off walaaa Likizo. Daah mlango si umegongwa, kufungua nakutana na jirani kaja jitambuliaha as ndio kahamia mtaani.....hayo ma hug niliyopewa s