Skip to main content

Posts

Showing posts with the label raise good kids

How is life as a mother to a third child (Maisha yakoje kama mama kwa mtoto wa Tatu)?

  Hello, jambo? Baada ya  kichwa cha habari hapo basi umejisema " watu wana watoto 7 na huoni wakitusimulia kuhusu maisha yao", labda hawana muda kama mimi au dada wa kazi ndio anawalea(atakusimulia aliyosimuliwa na dada wa kazi ambae ndio mlezi wa watoto)? achana na hili. Kiujumla maisha kama full time mother kwa watoto 3 chini ya miaka 15 ni magumu kwasababu watoto bado wanakutegemea kwa kiasi kikubwa  ila tegemeo ni tofauti na walivyokuwa wadogo(chini ya miaka 5). Pamoja na ugumu huo bado ukiwaangalia unahisi baraka ya kupata nafasi ya kulea, kukuza, kulemikisha na ku-shape vema wanadamu wengine kwa ajili ya manufaa ya Jamii. Wanao wanapokuwa nje ya nyumbani na wanaonyesha tabia njema, wasikivu, wanajiamini(sio kupita kiasi) na wenye wema ni wazi kuwa wanafanya maisha ya watu wengine kama vile walimu, marafiki zao kuwa rahisi na pengine yenye "furaha" na hata kuwafanya waendelee kutaka kuwa marafiki zao au (walimu) kutokuwa na hasira(maana kazi yao ni kama yangu