Skip to main content

Posts

Kujipendekeza Kipaji....

Helloooooo! Napenda kuandika mambo ambayo watu huogopa kuyasema lakini yanawakera...kwanini? Sababu sinywi Pombe hehehehe...! ....Kwa kawaida Ndugu wa mume hupaswa kuwa karibu na wewe (hata kwa ku-pretend) ili ujisikie umekaribishwa kwenye Ukoo eti...kwa Kacha yetu ya Kitanzania. Mwenyewe unajitahidi kuweka mawasiliano ya karibu....wao walaa(mpaka uwatafute)! Unajipa moyo labda wanashughuli nyingi na muda hawana, unasubiri siku mbili-miezi mitatu still Jiiiii....hee unaanza kujistukia, unataka kumuambia Mumeo lakini unaona noma. Maana wengine hawachelewi kukuambia "unataka kutugombanisha, we mwanamke tu....wale ndugu zangu"....so unaugulia Moyoni. Kujipendekeza mwisho mara 3(in my head), unajaribu kwa Mwaka mzima wao hawajitumi kukutafuta hata XMas to Xmas! Sina marafiki kwa ajili hiyo(sijui kujipendekeza, najaribu....usipoweka effort nafunga Ukurasa na songa mbele..... Unajiuliza nani atanizika "nikikufa

Kazi za watu...

Maoni ya Mhariri...siku hizi sote tunatoa Maoni on particular or similar issues....Teknolojia na Uhuru wa kujieleza/Changia utakacho au ulichokiona/shuhudia unaharibu kazi za watu. Mfano, kazi ya Uandishi wa Habari wa Magazeti na Radio....imeingiliwa na Blogs, Online Radios, Social Media na YouTube(is YouTube sosho Media pia?). Jamaa wanatumia Sosho Midia kama "chanzo cha uhakika" na wale Waandishi wavivu wa kukopi na kupesti ndio wamerahisishiwa kazi. Habari zenye Uzito ni zile za Uchunguzi....labda na mahojiano magumu ya Wanasiasa! Jana nipo YouTube (napenda Fashion Haul na beauty review....how sad!!?) nikakutana na Matangazo kutoka Kampuni moja kubwa ya Urembo....alietumiwa ni Vlogger na sio Model/Celeb kama nilivyozoea. Nkajisemea eeh Teknolojia imeharibu na kazi za Celebs na Model pia.....sio haki kabisa! ....Hebu ngoja kwanza! Hawa Vlogger ni real people wanatumia bidhaa na kuzi-review hivyo wao kutangaza bidhaa husika wana

Diet...

Hiya.... Utaratibu wa kula kwa kila mtu ni Asubuhi, Mchana na Jioni. Baadhi yetu tunaongeza Mlo in between na wengine hatumudu Milo miwili kwa siku. Sijawahi kujinyima ili kupungua au kukonda, nimekuwa chembamba maisha yangu yote ya Usichana mara boom nikafikia size 12(Mimba hizo). Nikajiambia, ah nikijifungua nitakuwa nakwenda Gym ili nirudie kamwili kangu ka enzi....aiii muda si ukagoma kutokea. Nikaamua tu kupiga mazoezi yangu mwenyewe nyumbani. Sikuweza ku-keep up na mazoezi kutokana na Uchovu (mother of two kids under 5 baibeee isn't as easy as Celebs looove to lie on our faces).... Nkapiga mahesabu, mmh am on my 30s nikishangaa hapa nitakuwa na kitambi for life....nifanye nini sasa wajameni? Nikapata jibu...relax Dinah Relax.....wacha Kichanga afikishe miezi 9 (atakuwa anajitegemea...kukaa peke yake na kulala vema usiku) alafu ndio uanze mambo yako. Kusubiri mpaka afikishe miezi 9, mbali alafu sio guarantee atakuwa "a