Skip to main content

Posts

Showing posts with the label usenge

Usenge + Ubunifu wa Mavazi=Skinny Models

Unaamini katika Chunguzi za Kisayansi? Mie naamini zile za Kitibabu(ambazo ni Sayansi pia.....kabla hujanijaji, tambua kuwa kuna Sayansi za aina nyingi....Viumbe,Mimea,Siasa,Kemikali n.k). Natumaini wewe ni mzima kabisa. Kama ujuavyo suala la Waonyesha mavazi/Wanamitindo kuwa Size Sufuri ni pana na mpaka likaingizwa kwenye Siasa(likafeli). Lakini bado hawa wafanya biashara watumiao Miili yao kuonyesha mavazi(Models/Wanamitindo) wanaandamwa kutokana na wembamba wao. Baadhi ya watu "mtaani" wanadai kuwa Wabunifu wanachagua "unreal women" kwasababu wao(most of them) ni Mikorosho/Wasenge na hivyo nguo wanazobuni ni za kutosha Wavulana na sio Wanawake......Unabisha?, endelea kusoma sasa. Kiasilia Mwanaume anaevutiwa na kupendeza kwa mwanamke atazingatia Umbile la Mwanamke, kwamba juu Mdogo halafu chini mkubwa/pana(Peasi)  au Juu mkubwa , kati mdogo halafu chini mkubwa pia(namba nane)....tuliobaki ni WAVULANA hihihihihi. Sasa kwa Msenge ambae ni Mbu

Urijali/Uanaume Kamili/wa Kweli!

.....hapa lazma nivabe! Lakini kwasababu napenda kuchangia "knowledge" sio mbaya nikikuelezea nilichojifunza. Inawezekana kabisa hukubaliani na ninachotaka kuandika, basi angalau nipe nafasi na unisikilize(soma na share....ahsante). Unajua pale unaanzisha Topic halafu watu wanaivamia na kuaanza Malumbano (ya busara) halafu wewe upo pembeni unafurahia huku  unachukua "Material", basi ndivyo ilivyokuwa. Wengi tunaamini(mie mmoja wao mpaka Wiki Majuzi) kuwa Mwanume Rijal/Kamilii ni yule mwenye Uwezo wa Kusimamisha Uume kwa muda Mrefu au mwenye uwezo wa Kusimama na kufanya mapenzi na kufanikiwa kummimba mwanamke. Baadhi hudhani kuwa Wasenge sio Marijali kwasababu hawapendi wanawake aka hawawezi kuingia ukeni sababu hawawezi kuinuka(Hanithi).....kama Kusimamisha kwa muda mrefu ni Urijali basi hawa  majamaa ni MARIJALI haswa!! Achana na hili. Sehemu ndogo wanaamini kuwa kama Mwanaume  ni Rijali mwanamke mmoja hamtoshi....daah! Ujinga Mzigo. Hawa wan

Wanawake na Usenge!

Kwanini sisi wakimama ni wepesi sana kukubali hawa jamaa?.....Hi are you well? Usinielewe vibaya! Siwachukii wanaojibadilisha kutoka Jinsia moja kwenda nyingine(I feel sorry kwa mume/mke na watoto though). Pia sina habari na Wanaume wanaopenda kujiremba au kuvaa nguo za kike. Hakika sijali nini mwanaume na mwanaume mwenzie au mwanamke na mwanamke mwezie wanafanya chumbani kwao(keep it there). Lakini sitoacha kujiuliza au kuuliza ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wepesi kuwakubali hawa jamaa kwenye Jamii? Kwanini sisi ni wa kwanza kuwachukulia poa na hata kurafikiana nao? Ni ile "huruma nature" tulioumbwa nayo au ni kwasababu Wanaume wengi ni Waoga wakidhani hali hiyo(Usenge) inaambukiza so wanakuwa wagumu au wenye Chiki/hasira wakihofia "kubadilishwa"? Pengine wanaogopa kuwadondokea Wasenge wa Kiume hihihihihi kama unaeza mtamani wa jinsia yako akiwa Mtupu na ukawimika wewe ni Msenge tu hata kama umeoa na unawatoto.....usiogope toka Kabatini. Back to the po