Skip to main content

Posts

Nguvu ya Mama....

Sio aliekuzaa bali uliezaa nae (Mwanaume) na wewe Mkimama mwenye mtoto au watoto. Embu ngoja kwanza!!....Mama aliekuzaa ndio chanzo cha ninachotaka kusema hapa siku hii ya leo. Nilibahatika kulelewa kwenye Mazingira ya Imani Kuu Mbili za Dini (Wazazi walikuwa na Imani tofauti za Dini), hali ambayo ilitufanya watoto kuwa na Dini ya Baba mpaka tulipofikisha Umri wa Miaka 18!!! Aiii.....angalau tulikuwa na kitu cha ku-look forward to....errr 18th birthday na 1st Key for your own house au kuanza kulipa Kodi ya chumba unacholala hapo kwenu (nisikuchanganye na mambo ya Ulayani). Kabla ya Miaka 18 sote tukahamia Dini ya Mama...Mzee akabaki peke yake na Dini yake masikini.....hapo ndio "nguvu" ya mama inapokuja sasa. Mama akiamua watoto wasitambue baadhi ya Ndugu anaweza kufanya hivyo kirahisi kabisa na kufanikiwa. Mama akiamua kumkufanya mtoto amchukie Baba yake anaweza kufanya hivyo like pie! Mama akiamua kukua

Raha ya Tako Kubwa kutikisika...

Sanaaa ila sio kila siku though! Kuna siku mwanamke unahisi hitaji la "kikaza" Maungo huko nyuma katikati....maana mtikisiko unazidi kiwango cha kawaida(au ni mimi tu?!!). Kwa wale ambao hatukujaaliwa "Choo" huwa hatuvai "kyupi" ili kuongeza "mtetemeko".....lakini waaapi bana, kitako kigumuuu ka' Jiwe.....ila angalau halipo. Sasa usiombe uwe umebebeshwa "lichoo" halafu halitikisiki!! Au linaenda Ti------Ti-----Ti badala ya "SingidaDododoma-SingidaDodoma" Anyway! Kama wewe huna "Litako" na ungependa mtikisiko time to time (pale unataka attention) bila kubadilisha mwendo na kuendelea kuvaa "kyupi" yako.....Hongera sana kwa kuichagua Blog hii hihihihi! Unapotembea mbele ya "mhusika" achia sehemu ya Haja kubwa kama Vile unataka "Kushusha Mzigo".....Hakika tumbo lako liposawa maana.....!!! And oh....unafanya hivyo ukimkaribia Mlen

Ijumaa moja Baada ya Mauaji ya MwembeChai!

Maisha haya! Nimekumbuka 1996/97 Mauaji ya Mwembe Chai (siku mbuki vema na sitaki ku-google vilevile)! Siku chache baada ya Mauaji yale bado kulikuwa na Maandamano ya Siri ya "Waislamu wenye Hasira".....Kile kifo cha yule Kijana pale Mwembe chai akianguka LIVE baada ya kupigwa Risasi na Polisi (FFU sijui) akiwa amevaa shati la Bluu Mpauko(light Blue) kamwe haitonitoka Kichwani! Ni kifo cha kwanza nilishuhudia live(on Tv)!! Sasa bila kujua si tukaenda Kariakoo siku ya Ijumaa! Ile tumemaliza manunuzi si tukakutana na Waandamanaji na FFU...wakayaachia Mabomu ya "Machozi"....oh boy! Nilihisi Vita kuu ya Mwisho wa Dunia ambayo sina Uzoefu nayo ndio imefika!!! Kimbia, huku na kule mara Tukakutana na jamaa (sijui Katibu au Mlinzi, ila alikuwa Mhindi) Wa SSC pale Msimbazi, akatufungulia Mlango kwenye Jengo la Simba....akawa anaita akina Mama na Watoto waende kupata Huduma ya kwanza....hihihihi kunawishwa Maji Usoni(wasn't a laughing matter then)! Anyway! Baada ya hapo k

Kujikanganya nako!

Kuna siku nilisikilizishwa Nyimbo za Bi Rozi Mhando akizungumzia "Kunyang'anywa" Mali zao na Wageni..."Wao kuwa Wageni Nchini mwao". Aliendelea na kuimba kuhusu kuchukua na Kunyang'anya vilivyo vyao kwa Jina la Yesu!.....Nkajiuliza Kunyang'anya(kutumia nguvu) si ni Dhambi?!! Halafu nikakumbuka Ubunge ni Career Path kwa watu Mashuhuri ila issue nzima inayonifanya niandike hapa ni ile ya kuji-contradict!! Isitoshe kuwa Mlokole kwa Miaka zaidi ya 20 lazma utarudi nyuma (utachoka) kumsubiri Yetu (hihihihi my ribs... Wapendwa na Watumishi habari gani?) na hivyo kuhama Kanisa, Kuanzisha Kanisa Lako au kujiingiza kwenye mambo mengine ambayo ni tofauti na Misimamo yako. Si walokole tu wanaoji-contradict kwa kukataa "Mikorosho" lakini wakati huohuo Kumuita Yesu ni Mume wa Wajane (Wajane sio Wanawake tu kama ulikuwa hujui, kuna Wajane wanaume) kwa mfano tu!! Kujikanganya ni kitu cha kawaida ailimradi