Sio aliekuzaa bali uliezaa nae (Mwanaume) na wewe Mkimama mwenye mtoto au watoto.
Embu ngoja kwanza!!....Mama aliekuzaa ndio chanzo cha ninachotaka kusema hapa siku hii ya leo.
Nilibahatika kulelewa kwenye Mazingira ya Imani Kuu Mbili za Dini (Wazazi walikuwa na Imani tofauti za Dini), hali ambayo ilitufanya watoto kuwa na Dini ya Baba mpaka tulipofikisha Umri wa Miaka 18!!!
Aiii.....angalau tulikuwa na kitu cha ku-look forward to....errr 18th birthday na 1st Key for your own house au kuanza kulipa Kodi ya chumba unacholala hapo kwenu (nisikuchanganye na mambo ya Ulayani).
Kabla ya Miaka 18 sote tukahamia Dini ya Mama...Mzee akabaki peke yake na Dini yake masikini.....hapo ndio "nguvu" ya mama inapokuja sasa.
Mama akiamua watoto wasitambue baadhi ya Ndugu anaweza kufanya hivyo kirahisi kabisa na kufanikiwa.
Mama akiamua kumkufanya mtoto amchukie Baba yake anaweza kufanya hivyo like pie!
Mama akiamua kukua