Skip to main content

Posts

Mwanamke Kujitegemea Kiuchumi....

Ndio kukoje? Unakumbuka enzi nipo Shule ya Msingi(just imagine...) enzi akina Taji Lihundi, Deo Mshigeni, Ramkim Ramadhani(RIP), Sunday Shomari....kabla ya akina JD hawajaja mjini....ndio walikuwa "the coolest"....Educated (well that is what I (myself) thought) watu kuwasikiliza na kuchukua "maushauri yao"....waliyokuwa wakiyasoma Ebony Magazine (sina hakika nimesema tu). Taji Lihundi zake zilikuwa "I want a girl who can speak at lest 3 languages, independent, have a job and beautiful" by 3 languages hakumaanisha Kinyamwezi, Kihehe na Kizaramo....alitaka Malugha ya mbele huko. Sasa huyu Baba(alikuwa mKaka then) ali-influence sana kwa akina sisi (Teenagers) enzi hizo bana, tulipofika miaka 20na na kuanza shughuli za kupenzika tukaanza kukimbia Vijana wanaoonyesha wapo sawa "kiuchumi" ili tusionekane "tegemezi". Sasa kutokana na "muonekano" wako wa Independent....unapendeza, unavaa vitu vikali nini na nini....wanaonyesha interes

Wema hadumu....

Now I have your attention, kaa chini.....Wema hawadumu (hufa mapema) ndio namaanisha. Hivi hujawahi kujishtukia na kupunguza wema ili usije ukaenda mapema? Mwanamke I have! Wema mtu anazaliwa nao (nadhani) lakini pia unaweza kujifunza kuwa mwema....sasa kupunguza wema sio kwamba unakuwa na roho mbaya bali unapunguza "misaada" iwe ni Pesa, Vitu au Muda wako kwa watu wengine. Kitendo chako hicho kinafanya wale "watu wengine" wakuone unaroho mbaya au sio mwema kiviiiiile na hivyo kuanza kukujungua na kukudongoa(kukusema vibaya) na hapo siku zako Duniani zinaongezeka (in my head)! Hayati Bibi aliwahi kusema watu wanapokusema vibaya na hata kukutakia/ombea kifo ni vizuri kwani wanakutakia kinyume chake....Unaona my NUKTA sasa! Muone mzito kumkichwa ka' m-Irish. Usije anza kumuombea mtu wako mpendwa anaeumwa afe ukitegemea itakuwa kinyume hehehehe lwako. Furahia Mwanzo wa Mwisho wa Wiki yako. Babai. Mapendo t

Akina sie on Budget...

Ili kuifanya itoke vizuri huwa tunajiita "the simple life" women....well U-simple unatofautiana nadhani unalijua hilo. Mfano hapa hunikuti na hautonikuta nazungumzia Manunuzi ya Wiki au Mwezi huko High end (Designers) pamoja na hilo pia hunikuti nazungumzia Maduka ambayo ni Lowest End.....mie nipo kati. Napenda Ubora, Mfano Bag lazma iwe Real/Genuine Leather kwani ndio my Kitu sio Trends. Sasa si nilipita kwenye Charity Shop maeneo wanayoishi Mastaa Jumamosi iliyopita, nikakuta watu Kibao kwa nje....nkauliza kwani kuna Star humo ndani? Wakasema hapana ila kuna "new stock" by new wanamaanisha Stars wame-donate Ma-used-designer Gear jana yake. Aii! Mwanamke sijawahi kumiliki Designer Bag Genuine....wee! Mie huyu ninunue Hand Bag kwa £2,340 wakati hata Tofali la Choo (sio Jimmy Choo, Choo as in Toilet eeh) sina.....hata Fake ones sina. Nikaweka u-simple pembeni....nkaunga foleni....nkajipatia "Chloe Python Paraty Tot

Happy December.....nimekuwa huru!

Nikajikuta nashindwa kusoma maandishi au kutambua Sura ya mtu kwenye Tv au popote pale ambapo ni umbali wa hatua 4, sasa naona (Navaa Miwaani baada ya kuikwepa kwa Miaka zaidi ya 15). Halafu Binti kaacha kunyonya full-time (haombi na wala hadai) hooray...whoop!...whoop! Sasa siku moja nipo Bafuni najilola(najiangalia) nikaona pale nyuma kati pamekuwa a bit "firm" and more Duara(maana ukizaa matako yanashuka/tepeta kidogo ujue)....nkasema wohooo mazoezi yangu yanalipa! Kuja kuhamaki....kumbe nimenenepa hihihihihihi(nlijipima kitu kutoka 32inch to 46). Side effects za kuacha kunyonyesha nazo, mxsiii (kama unataka kuzijua zote nitafute nikumwagie mauzoefu). Na mwisho kabisa Asali wa Moyo anaumwa "Flu"(Homa, body ache, Kikohozi na Mafua).......si unajua wanaume wakiumwa "Flu"...full kudeka hehehehe I mean "hoi" imagine wangekuwa wanazaa the Puuzi kabisa! Babai. Mapendo tele kwako...