Skip to main content

Posts

Je wee ni Muafrika Halisi?

Kwamba vizazi 9 vya pande zote mbili (baba/ yako, Babu/Bibi yako, Baba/Mama wa Babu/Bibi yako, Baba/Mama yake Babu/Bibi wa Baba/Mama yako na whoever kabla ya wote hao) vilivyopita kabla yako ni Waafrika Weusi asilia bila tone la Uarabu, Ujerumani, Ureno na Uingereza? Baada ya Obama wale Mchanganyiko wakaonyesha "rangi" yao, hasa wa huku....walikuwa wanaongea kwa uchungu na hasira kuwa wao sio Weusi bali ni Mixed, hawataki kutambuliwa kama Weusi bali Weusi na____!....Which was/is fair ila kwanini msubiri Mpaka wakati wa Obama?!!! Huwa nakerwa na tabia ya baadhi ya watu (hasa Mixed ambao U-mixed wao hauonekani bali Weusi wao) wanaopenda kusema "mie ni robo Mhindi,Nusu na robo Muingereza halafu Nusu Muafrika". Vita ya Ubaguzi kati ya Weusi Mixed na Real Weusi bado ipo na inaendelea kukua hasa baada ya "mapinduzi" ya Natura hair kwa African american aka Black peeps. Wale Real ndio wanahisi wanahitaji pongezi

Mwanamke Kujitegemea Kiuchumi....

Ndio kukoje? Unakumbuka enzi nipo Shule ya Msingi(just imagine...) enzi akina Taji Lihundi, Deo Mshigeni, Ramkim Ramadhani(RIP), Sunday Shomari....kabla ya akina JD hawajaja mjini....ndio walikuwa "the coolest"....Educated (well that is what I (myself) thought) watu kuwasikiliza na kuchukua "maushauri yao"....waliyokuwa wakiyasoma Ebony Magazine (sina hakika nimesema tu). Taji Lihundi zake zilikuwa "I want a girl who can speak at lest 3 languages, independent, have a job and beautiful" by 3 languages hakumaanisha Kinyamwezi, Kihehe na Kizaramo....alitaka Malugha ya mbele huko. Sasa huyu Baba(alikuwa mKaka then) ali-influence sana kwa akina sisi (Teenagers) enzi hizo bana, tulipofika miaka 20na na kuanza shughuli za kupenzika tukaanza kukimbia Vijana wanaoonyesha wapo sawa "kiuchumi" ili tusionekane "tegemezi". Sasa kutokana na "muonekano" wako wa Independent....unapendeza, unavaa vitu vikali nini na nini....wanaonyesha interes

Wema hadumu....

Now I have your attention, kaa chini.....Wema hawadumu (hufa mapema) ndio namaanisha. Hivi hujawahi kujishtukia na kupunguza wema ili usije ukaenda mapema? Mwanamke I have! Wema mtu anazaliwa nao (nadhani) lakini pia unaweza kujifunza kuwa mwema....sasa kupunguza wema sio kwamba unakuwa na roho mbaya bali unapunguza "misaada" iwe ni Pesa, Vitu au Muda wako kwa watu wengine. Kitendo chako hicho kinafanya wale "watu wengine" wakuone unaroho mbaya au sio mwema kiviiiiile na hivyo kuanza kukujungua na kukudongoa(kukusema vibaya) na hapo siku zako Duniani zinaongezeka (in my head)! Hayati Bibi aliwahi kusema watu wanapokusema vibaya na hata kukutakia/ombea kifo ni vizuri kwani wanakutakia kinyume chake....Unaona my NUKTA sasa! Muone mzito kumkichwa ka' m-Irish. Usije anza kumuombea mtu wako mpendwa anaeumwa afe ukitegemea itakuwa kinyume hehehehe lwako. Furahia Mwanzo wa Mwisho wa Wiki yako. Babai. Mapendo t

Akina sie on Budget...

Ili kuifanya itoke vizuri huwa tunajiita "the simple life" women....well U-simple unatofautiana nadhani unalijua hilo. Mfano hapa hunikuti na hautonikuta nazungumzia Manunuzi ya Wiki au Mwezi huko High end (Designers) pamoja na hilo pia hunikuti nazungumzia Maduka ambayo ni Lowest End.....mie nipo kati. Napenda Ubora, Mfano Bag lazma iwe Real/Genuine Leather kwani ndio my Kitu sio Trends. Sasa si nilipita kwenye Charity Shop maeneo wanayoishi Mastaa Jumamosi iliyopita, nikakuta watu Kibao kwa nje....nkauliza kwani kuna Star humo ndani? Wakasema hapana ila kuna "new stock" by new wanamaanisha Stars wame-donate Ma-used-designer Gear jana yake. Aii! Mwanamke sijawahi kumiliki Designer Bag Genuine....wee! Mie huyu ninunue Hand Bag kwa £2,340 wakati hata Tofali la Choo (sio Jimmy Choo, Choo as in Toilet eeh) sina.....hata Fake ones sina. Nikaweka u-simple pembeni....nkaunga foleni....nkajipatia "Chloe Python Paraty Tot