Skip to main content

Posts

Ujidhaniavyo sivyo....

Heiyaaa. Mara zote huwa tunaamini tupo vile ambavyo hatupo. Nitakupa mfano:-  Unapoenda kununua Foundation(matope ya kupaka Usoni kabla ya mengineyo) unachagua rangi ambayo sio yako na huwa waaaay lighter. Sio kwamba unakusudia bali hutaki kukubali ile yako ambayo pengine inaonekana ni nyeusi sana kwenye Chupa kuliko unavyoamini(kithihitisho ni Picha zako). Enzi nilikuwa na "Wifi" wa Kiarabu na kwenye familia yao kulikuwa na waliozaliwa nje ya "uarabu" kwamba mzazi mmoja alikuwa Muarabu mwingine Mweusi halafu mtoto (binti) katokea mweusiiii mwenye nywele za kiarabu. Basi tukijikusanya tumapiga stori huyo binti alikuwa anapenda kuwasema wadada wengine kuwa ni Weusi mno kiasi kwamba hawavutii. Kwasababu mzazi wake mmoja ni Muarabu na anaishi kwenye Familia Kiarabu aliamini kuwa na yeye ni Muarabu. Hiyo pia huwatokea watoto waliochanganya na Wazungu na kuishi Uzunguni zaidi kuliko Weusini...huwa wanajidhania kuwa ni Wazungu(rangi wise). Kingine ni uwingi wa nywel

Magaidi wa Kiislam...

Ahsante kwa kuichagua Blog hii.....natumaini umeanza Wiki yako vama. Post ya jana inaweza kukufanya udhanie kuwa naunga mkono Mauaji ya hao Waislamu(if you are that thick). Ukweli ni kuwa tangu 7/7 London Bombing sina Imani wala huruma na Waislam wa UK. Victoria line au Piccadilly ndio lines zangu then nateremkanpale KingX......siku hiyo ya Saba-saba niliamua kutega Kipindi cha asubuhi kilichokuwa kinaanza saa 9:30am.....ningetoka muda wangu wa kawaida labda leo nisingekuwa hapa. Nilipoona Waislamu nahofia kuwa wanaeza jilipua.....miezi michache ya 2005 baada ya 7/7 nilikuwa nahama behewa(kwenye Tube) su nasubiri the next one ikiwa kuna mkimama au mkibaba alievaa Kiislam au mwenye asili ya Waislam kama vile Wasomali, Wapakistan n.k. Mpaka leo karibu miaka 10 naishi masaa 8 driving kutoka London na Dakika 45 kwa ndege (Dar to Moshi....pata picha)bado naogopa kujimix na hao majamaa(wapo kila kona). Baada ya kilichotokea Tunisia hakika kinaongeza hofu na chuki inakua dhidi ya Waisla

Usilaumu kabla hujajua kwanini

Aah kuumwa aka holiday(mpaka niumwe ndio napumzika kuwa Mama a little).......jikapata nafasi ya kusoma article moja (ndefu ka kitabu)kuhusu Wabritishi wanaojiunga na ISis. Nimepata mwanga mpya kuhusu hao jamaa na yote wayafanyayo. Imeeleza kwa kifupi tu kuwa Kuishi Nchi za Kimagharibi kunawafanya wajihisi kuwa sio Waislam enough. Ukifuatilia hnagundua kuwa ni kweli kwasababu  Muislam wa kweli hawezi kuishi Nchi kama Uingereza.....wanaoishi humo ni wale wanaotaka kuubadilisha Uislamu ili kwenda na wakati, kwamba wanataka kuwa Waislamu wa kisasa. Vijana hao wanadai kuwa Wamekuzwa Kiislamu na Wazazo wao lakini baada ya kuwa watu wazima wamegundua kuwa Wazazi wao wamekosea kwa kuja kuishi Uingereza. Kuishi Uingereza kunamfanya Muislamu kutokuwa Muislamu kwasababu ya Mazingira, Utamaduni,Ubaguzi na kufunga Masaa 19 mwezi wa Ramadhani(nimeongezea hihihi). Mpaka leo sielewi ni kwanini hasa Waislamu hukimbilia Nchi za Kimagharibi(za Makafiri) na kuacha Nchi za Kiislamu tulivu? Au kama wa