Skip to main content

Posts

Mtindo 1-10 with a twist....(requested)!!

Mwenye Kwao haachi Jadi si eti? Sasa wewe(na wenzako) "mmepitilizishwa" na Umarekani sijui Usasa bin Usawa mnasahau mpaka Jadi zenu na Maana yake...sio mnasahau bali humzijui na hivyo unakurupuka tu na kusema "Kutoa Mahali ni sawa na Kuuzwa/Nunuliwa"....Hujambo lakini? Sasa ni hivi; kuna mitindo Mingi sana na kumfurahisha Mwenza wako wa Kiume kunako Faragha, kama ujuavyo mwaka 2008 niliandika Topic ya Mtindo wa 1-10 na ikiwa hujui basi endelea kusoma ili uweze kujiongezea au kujifunza "kaujuzi". Mtindo wa  "Moja mpaka Kumi" unafanyika katika Mkao wa Kifo cha Mende Mwanamke juu, Ukishakuwa tayari Bibie weka Mzigo ndani na uingie mpaka Mwisho kisha ujilaze sambamba na Mwili wa Mwenza wako ambae ni Mwanaume(nitatumia Mkibaba kuokoa Muda). Wakati upo kwenye Mkao huo tumia Misuli yako ya Uke kubana na kuachia a.k.a "Piga endiketa", baada ya hapo njoo juu na rudi chini(piga takoz hihihihi) mara Kumi....kwamba kila ukienda chini n

Mashoga/Wasenge "wanatuibia" Waume/Wapenzi wetu....

...kwanza kabisa napenda utambue kuwa hakuna Mtu anaweza kumuiba  mwenzake kimapenzi, Mpenzi wako anapotoka kwako na kwenda kwa mwingine ni wazi kwamba kaamua kufanya hivyo, hilo sio kosa lako na wala hujasababisha yeye kwenda huko kwingine bali ni yeye mwenyewe na akili zake timamu kafanya uamuzi huo. Tangu Ushoga ndio khabari/Suala Muhimu wacha na mimi nidaivu ini nipate "trafiki" japo nimechelewa. Tofauti na "platform" nyingine hapa utajifunza kwa kiasi kidogo...au niseme kiasi fulani. Linapokuja suala la Ushoga/Usenge,sehemu kubwa ya Jamii imetawaliwa na  Uoga ambao unapelekea kutokuelewa Ushoga ni nini? Hali hiyo ni Asilia, kwamba mtu anazaliwa hivyo au ni uamuzi  wa mtu au ni Hali inayojitokeza ukubwani baada ya Kubalehe.....pale kijana anapoanza kutambua ujisia wake(je anavutiwa/penda Wanawake au Wanaume au wale wa Jinsi kama yake). Mie sio Mtaalam wa Masuala ya Kisenge/Shoga lakini ni mtu ambae napenda kudadisi, na watu wazuri kuwadadisi ni hao hao

Kufanya Mapenzi(Ngono) Hakujengi Ndoa yenye Furaha......

....lakini ni "Madhara" ya Ndoa yenye Furaha! Nimekuchanganya si eti? hata mie sielewe nilichoanza kuandika ila endelea kusoma na mimi niendelee kuandika na kwa pamoja tunakuwa kwenye Mstari na hivyo sote kuelewa. Hujambo lakini? Ngono au Kufanya Mapenzi(kama tunavyopenda kuita sie tulio Ndoani ili kuhisi "Utakatifu" wa Ndoa zetu) sio Muhimu kiviiiiiile, Muhimu ni kutunza au kuendelea kuwa na  ile hali ya kuvutia/vutiwa na Mwenza wako. Kwamba, sasa ni Miaka 8 ya Ndoa yenu lakini bado unapata misisimko uleule uliokuwa ukiupata pale anaposema "kesho nakuja"....tofauti sasa unajua anarudi saa ngapi nyumbani kwenu....Sauku ya kumuona inakupa tabasamu kuu. Wakati mwingine Unajiambia/jisemea ni jinsi gani unampenda Mume/Mkeo bila yeye kukusikia. Wakati mwingine wala huamini kuwa unaishi na Mwenza umpendae hivi(japo huwa anakuudhi na unamnunia)....Ukimuona Mkibaba unahisi "kunyetukanyetuka" na yeye akisikia sauti yako  Mkimama basi tena hana Ha