Skip to main content

Posts

Ndoa ni Social construct, haina umuhimu...

....vipi kuhusu Elimu, Dini na Familia? Aah Elimu ni kwa ajili ya masikini kwani haina faida, sababu watoto wa vigogo wanainunua. But tunahitaji wajuzi wa afya ya Ubongo, Mwili na viungo vyake, Mifupa n.k kuanzia tupo tumboni mpaka tunafika miaka 120(yep tunafika huko as hii ni karne ya 21 sio 11).   Wajuzi wa mazingira,vyakula, sumu, Madawa, Nishati, Shetia na utaratibu wa kulinda na kupata Haki yako maka mtendwa au mtendewa jambo kinyume cha sheria n.k. Vipi kuhusu Imani ya Dini? Nayo tumeaminishwa tu na Wazungu na Waarabu ili watutawale si ndio? Vipi Waarabu na Wazungu huko makwao ambao bado wanafuata, kuamini na kusimamia Imani hizo za Dini, wanafanya hayo ili kujitawala? Aaah ili kunyanyasa Wanawake na watoto....Achana na Uislamu/Ukristo, vipi Imani za Dini/Miungu ya kimila na Desturi?  Bado unaamini haikuwa sehemu nzuri ya kuifanya jamii husika kuwa na structure na hivyo kufanya maisha yawe rahisi kumudu hasa linpokuja suala la stress, shida na matukio mengine ambay...

Wazazi wa Teenager leo ni...

...wale wa Miaka 30-39, isipokuwa mimi ambae naelekea miaka 50 na wanangu wala hawajafika miaka 16. Hawa teen ndio wanaoendesha Social media huku kaka/dada zao in their 20s wanasakama watoto wangu(kizazi kipya aka kizazi cha mwanzo). Nilienda kuchukua mwanangu wa Sekondari nakutana na wamama watu wazima...mie pia ni mtu mzima ila naona kama vile wenzangu wazee zaidi yangu kwa muonekano, makunyanzi na mvi...oh bila kusahau fashion. Talking about fashion, siku moja kabla ya Covid19 my Std 5 kid akanambia "kwanini unapenda kuvaa same dark colors "clothes"  nikamwambia navaa different colors but Winter coats ndio the same dull colors....halafu ikawa March 2020(deleted memories).  Anyways, turudi kwenye malezi ya watoto wenu wanaosumbua mitaa ya social media na real life. Picha kutoka comment-ini. Wengi ambao wapo in their 30s(kwa mujibu wa hiyo comment) bado ni Wanawake wa nguvu na waliamua kuwa na watoto bila Baba kwasababu wanaweza kufanya kila kitu...

Jinsi ya kulea watoto ktk Kacha mbili...

Wazazi wengi wanalea watoto wao kimagharibi bila kuishi Magharibi kwasababu Umagharibi unavutia au ni kwasababu inakufanya ujione bora, tofauti au upo juu zaidi ya wenzako ambao wanalea watoto wao kibongo-bongo ndani ya Tanzania? Usijisikie vibaya sababu hata mimi nalea wanangu kibongo-bongo wakati hawajahi kuishi Bongo kwa zaidi ya miezi kadhaa ndani ya miaka yote ya umri wao.  Humu ndani hatuwezi kutumia "kumbuka ulikotoka" au "usisahau nyumbani" sababu nyumbani kwao ni England na ndio walikotoka na walipo.... Sasa unafanyaje kuhakikisha wanao wanakuwa kibongo-bongo as well as ki-kwao(walipozaliwa)?  Picha kutoka gugo. 1: Hakikisha wanapata values na principals ulizokuwa nazo kama mbogo. Unafanikisha hili kwa kuwapa simulizi za ukweli kuyokana na uzoefu wako wa Mila na Desturi, pia kutokana na uzoefu wako wa huko mlipo na unavyoijua Kacha hiyo hakikisha una-up date inapohitajika. Mf:-  Bongo: Heshimu wakubwa wako. Ngambo: Heshimu anaekuheshimu bila kuj...

Siri ku-bounce back baada ya Kuzaa...

Mambo? Aah mie pia nimekukumbuka ndio maana nimeamua ku-blog kila siku kwa siku 5* kama zawadi yako ya  Christmas. Tegemea michapio kadhaa, nita-edit baada ya Xmas.   Now that is out of the way....njoo kwenye Somo la leo ila kama umekuja kujua namna ya kurudia mwili wako baada ya kuzaa, Pole ila usiondoke nataka nikupe siri yake ili ukome kutaka ku-bounce back haraka haraka, sio tu kwamba ni Kacha ya kimagharibi bali pia ni aina ya unyanyasaji wa jinsia kutoka kwa Mumeo. Maisha yangu yote nilikuwa chikonda aka skinny hivyo nilijizoea hivyo na nilijipenda nilivyokuwa. Baada ya kushika Mimba kwa mara ya kwanza nilinenepa na nilipojifungua mwili ukarudia wembamba wake ila nikawa  "shapely", kwamba nikawa na umbile la kike(vitu vikajitenga, nikatokelezea)zaidi. Hiyo ilichukua wiki 2, Mimba ya pili nikanenepa tena na mwili ukarudi ulipokuwa ndani ya miezi 2...baada ya hapo mambo mengi yakatokea kwenye huu mwili(story ndefu na sina muda) then akaja mtoto mwingine, tufanye ...