Yenye viwango na Uchunguzi wake umefanywa kisasa.....(Wataalam wa Sayansi) sio wale wa "Maono"....The wezi.
Oh! Heri ya Juma Nne....Hongera na ahsante kwa kuichagua Blog hii.
Ile Nywele issue (bado ninayo) bana inanifanya nijifunze mengi kuhusiana na vitu asilia ambavyo vinamanufaa mazuri kwa mwili wa Binadamu ikiwa ni pamoja na nywele.
Kunywa maji ni muhimu kwa ajili ya ngozi, nywele na kupunguza Mafuta Mwilini kwani inakuzuia kula chakula kingi/kupita kiasi.....ila ukiwa ulibeba mtu mbili Tumboni eh bwana lazima uwe mwangalifu na maji unywayo.
Unakunywa "Fundo" ndogo mbili na sio kumimina robo/nusu Lita kwa wakati mmoja....unaeza pata Mimba atifisho a.k.a Kitambi....(Hata sijui kwanini nakuambia hili)!
Oooh! Back to Miti shamba, ninayotaka kuizungumzia hapa ni Chai.....huyoo ulidhani mizizi na Magome? Hehehehe....Chai ya Kijani na ile ya Maua aina ya Chamomile.
Come to think of it, Mizizi na Magome hutumiwa kama