Naamini au niseme kuwa nadhani nina ngozi nzuri, kwamba si nyeusi na si nyeupe.
Ila tatizo linakuja kwenye mabadiliko yake kutokana na Hali ya hewa inavyobadilika.
Awali wakati naishi Tanzania ngozi yangu ilikuwa inachukia Mafuta Mazito, hivyo nikawa napaka mafuta ya "maji" ya asilia ambayo ni ya Nazi.
Baadae nikagundua aina fulani ya "Lotion" nikawa nachanganya Mafuta ya Nazi na kupaka mwilini (usoni incl).
Kipindi chote hicho sikuwa naona mabadiliko ya Rangi ya Ngozi yangu kama ninavyoiona huku Ulayani. Yaani wakati wa Baridi na kipupwe Ngozi yangu inakuwa Nyeupe (napauka)....alafu wakati wa Kiangazi naiva (Rangi inakolea)....
Nikadhani labda macho yangu yanaumizwa kutokana na Mwanga wa jua wakati wa Kiangazi ndio maana najiona "nimeiva).
Siku nikaenda kwa Daktari kumueleza tatizo langu hehehehehe I know(am so stupid....not really mie muoga wa Magonjwa bana)....nilidhani labda ni dalili ya Ugonjwa wa Michael Jackson bana aaah...!
Daktari akanipa facts kuhusu Ngozi yangu ya Kiafrika na jitihada zake za kupigana na Mionzi ya Jua. Kwamba inaweka layer ili kuzuia Jua lisiharibu Ngozi yangu na umuhimu wa kutumia Sun Protection Cream hata kama Jua sio kali wakati wa Baridi/Kipupwe.
Sasa kama umejichubua Ngozi yako inakuwa haina hiyo "protection) aiiiiii ngoja nikae kimya kwanza nsije kuwa "double standard".
Anyway, sasa navaa "Msingi" + Poda kutokana na Majira ya hali ya hewa, kwabahati nzuri sio mtumwa wa vipodozi....mbona ingenigharimu.
Wakati wa Jua kali na- TAN wakati wa Baridi nakuwa Pale...
Babai....
Mapendo tele kwako...
Ila tatizo linakuja kwenye mabadiliko yake kutokana na Hali ya hewa inavyobadilika.
Awali wakati naishi Tanzania ngozi yangu ilikuwa inachukia Mafuta Mazito, hivyo nikawa napaka mafuta ya "maji" ya asilia ambayo ni ya Nazi.
Baadae nikagundua aina fulani ya "Lotion" nikawa nachanganya Mafuta ya Nazi na kupaka mwilini (usoni incl).
Kipindi chote hicho sikuwa naona mabadiliko ya Rangi ya Ngozi yangu kama ninavyoiona huku Ulayani. Yaani wakati wa Baridi na kipupwe Ngozi yangu inakuwa Nyeupe (napauka)....alafu wakati wa Kiangazi naiva (Rangi inakolea)....
Nikadhani labda macho yangu yanaumizwa kutokana na Mwanga wa jua wakati wa Kiangazi ndio maana najiona "nimeiva).
Siku nikaenda kwa Daktari kumueleza tatizo langu hehehehehe I know(am so stupid....not really mie muoga wa Magonjwa bana)....nilidhani labda ni dalili ya Ugonjwa wa Michael Jackson bana aaah...!
Daktari akanipa facts kuhusu Ngozi yangu ya Kiafrika na jitihada zake za kupigana na Mionzi ya Jua. Kwamba inaweka layer ili kuzuia Jua lisiharibu Ngozi yangu na umuhimu wa kutumia Sun Protection Cream hata kama Jua sio kali wakati wa Baridi/Kipupwe.
Sasa kama umejichubua Ngozi yako inakuwa haina hiyo "protection) aiiiiii ngoja nikae kimya kwanza nsije kuwa "double standard".
Anyway, sasa navaa "Msingi" + Poda kutokana na Majira ya hali ya hewa, kwabahati nzuri sio mtumwa wa vipodozi....mbona ingenigharimu.
Wakati wa Jua kali na- TAN wakati wa Baridi nakuwa Pale...
Babai....
Mapendo tele kwako...
Comments