Yenye viwango na Uchunguzi wake umefanywa kisasa.....(Wataalam wa Sayansi) sio wale wa "Maono"....The wezi.
Oh! Heri ya Juma Nne....Hongera na ahsante kwa kuichagua Blog hii.
Ile Nywele issue (bado ninayo) bana inanifanya nijifunze mengi kuhusiana na vitu asilia ambavyo vinamanufaa mazuri kwa mwili wa Binadamu ikiwa ni pamoja na nywele.
Kunywa maji ni muhimu kwa ajili ya ngozi, nywele na kupunguza Mafuta Mwilini kwani inakuzuia kula chakula kingi/kupita kiasi.....ila ukiwa ulibeba mtu mbili Tumboni eh bwana lazima uwe mwangalifu na maji unywayo.
Unakunywa "Fundo" ndogo mbili na sio kumimina robo/nusu Lita kwa wakati mmoja....unaeza pata Mimba atifisho a.k.a Kitambi....(Hata sijui kwanini nakuambia hili)!
Oooh! Back to Miti shamba, ninayotaka kuizungumzia hapa ni Chai.....huyoo ulidhani mizizi na Magome? Hehehehe....Chai ya Kijani na ile ya Maua aina ya Chamomile.
Come to think of it, Mizizi na Magome hutumiwa kama Chai pia eti?...."chemsha kisha Unywe/Oga", anyway....
Asali wa Moyo wangu anatabia ya kuninunulia Chai za aina mbali-mbali asa siku moja akaja na "Chamomile Tea"....bila kujua nkatengeneza na kuweka Sukari....aiiii manukato na radha yake ikanishinda.
Mara Chai zote za kusaidia ku-relax zikaisha ikabaki "Chamomile" na "Green Tea"(inaradha ka' dawa)....nikajitutumua na kuanza kuinywa "Chamo", sasa bila sukari....ikanyweka vema.
Nikaendelea nayo kila jioni, ndani ya Wiki 3 nkaaza kuona Nywele zinaanza kujaa pale mbele(hair line).....aiii mwanamke nkaenda Google+Wikipedia=Ukweli wa Mti/Ua shamba husika......Mimi na "Chamomile Tea" pamoja Milele.
Leo hii Mimi na Asali wa Moyo tunaadhimisha Miaka Kadhaa ya Muungano wetu.....kama na wewe unaadhimisha basi Happy Anniversary to ya! .
Babai....
Mapendo tele kwako...
Oh! Heri ya Juma Nne....Hongera na ahsante kwa kuichagua Blog hii.
Ile Nywele issue (bado ninayo) bana inanifanya nijifunze mengi kuhusiana na vitu asilia ambavyo vinamanufaa mazuri kwa mwili wa Binadamu ikiwa ni pamoja na nywele.
Kunywa maji ni muhimu kwa ajili ya ngozi, nywele na kupunguza Mafuta Mwilini kwani inakuzuia kula chakula kingi/kupita kiasi.....ila ukiwa ulibeba mtu mbili Tumboni eh bwana lazima uwe mwangalifu na maji unywayo.
Unakunywa "Fundo" ndogo mbili na sio kumimina robo/nusu Lita kwa wakati mmoja....unaeza pata Mimba atifisho a.k.a Kitambi....(Hata sijui kwanini nakuambia hili)!
Oooh! Back to Miti shamba, ninayotaka kuizungumzia hapa ni Chai.....huyoo ulidhani mizizi na Magome? Hehehehe....Chai ya Kijani na ile ya Maua aina ya Chamomile.
Come to think of it, Mizizi na Magome hutumiwa kama Chai pia eti?...."chemsha kisha Unywe/Oga", anyway....
Asali wa Moyo wangu anatabia ya kuninunulia Chai za aina mbali-mbali asa siku moja akaja na "Chamomile Tea"....bila kujua nkatengeneza na kuweka Sukari....aiiii manukato na radha yake ikanishinda.
Mara Chai zote za kusaidia ku-relax zikaisha ikabaki "Chamomile" na "Green Tea"(inaradha ka' dawa)....nikajitutumua na kuanza kuinywa "Chamo", sasa bila sukari....ikanyweka vema.
Nikaendelea nayo kila jioni, ndani ya Wiki 3 nkaaza kuona Nywele zinaanza kujaa pale mbele(hair line).....aiii mwanamke nkaenda Google+Wikipedia=Ukweli wa Mti/Ua shamba husika......Mimi na "Chamomile Tea" pamoja Milele.
Leo hii Mimi na Asali wa Moyo tunaadhimisha Miaka Kadhaa ya Muungano wetu.....kama na wewe unaadhimisha basi Happy Anniversary to ya! .
Babai....
Mapendo tele kwako...
Comments