Skip to main content

Posts

Elimisha mwanaume asibake(Rape) mwanamke....

....sio kufundisha Mwanamke jinsi ya kuzuia asibakwe! Habari ya wewe? Nasema ahsante kwa kuichagua Blog hii. Unategemea Nchi iliyoendelea kama UK kwamba huwezi kusikia suala la kuelimisha Wanaume kuhusu Ngono ili wasibake Wanawake via Media eti! Wapo wachache walioelimika na wenye kumthamini Mwanamke na kumheshimu na kutomjaji kutokana na Mavazi yake. Pia Hukumu kali dhidi ya Ubakaji inasaidia kwa mbali. Lakini bado kuna Wanawake na Wanaume ambao wanadhani kuwa Mwanamke kubakwa ni Kosa lake na hivyo kufundisha Wanawake namna ya kuzuia Kubakwa as in wasivae Mavazi yanayovutia Wanawame n.k. Mwanamke Habaki.....sasa kwanini yeye awe responsible kuji-limit kwa ajili ya Mwanaume? Kwanini Mwanaume asifunzwe kuji-control na kutomuona Mwanamke kama object ya kumalizia haja zake za Kimwili? Kanini Mwanaume asifunzwe kuwa ili kufurahia Tendo ni lazima au ni vema upande wa pili ukubali kutoa ushirikiano na sio kulazimishwa? Kwanini Mwanaume asionywe kuwa Kubaka ni Kosa? (Natambua wapo wan

Pale Gugo inapokuomba kutunza kila kitu chako...

Kuanzia Picha, Emails, Work Docs na bila kusahau details za kubanki Online. Habari ya J'pili na ahsante kwa kuichagua Blog hii. Kwa ubize wa maisha hakika utamshukuru Gugo kwa kukurahisishia......na yeye anakuukiza unataka nikumbuke pin au password yako fo yo konviniensi....na wewe unabonyeza Ok kwa hiyari kabisa. Tena inakuambia pia ni rahisi kufanya manunuzi online ukiseti Gugo loko(mahali ulipo)......na wewe unakenua na kukubali settings hehehehehe you are done Mwananchi. Baada ya miaka kupita utaanza kulalamika kwanini unaibiwa pesa au kwanini kila mtu anajua unapoishi. Ikitokea umefanya Jinai ndio utaijua Google na vitongoji vyake....siku itokee unautaka Ubunge sijui Uwaziri watu wanavuta Gugo na kupata kila kitu. Aiii nafurahia urahisi wa ku-shop online na kujua nini kinapatikana wapi lakini hayo mengine natunza na kukumbuka mwenyewe. Asante nashukuru Google. Well wanajua kila kitu cha yeyote anaewatumia isipokuwa hawawezi kuweka wazi details zako zipatikane kwa sabab

Faida ya kumchukia mtu usiemjua....

Ni nini hasa? Unajua kuna watu maisha yao ni ya huzuni sana bila wao kujijua. Anakaa kabisa na kutulia kisha anaanza kurusha maneno makali. Unawezaje kum-attack mtu kwa matusi wakati humjui? Hupendi anachokiandika au kukisema fair enough....sasa kitu gani kinakupeleka kwenye Ukurasa wake wa FB au Twitter au Blog na Sites? Binafsi kama sipendezwi na Blog fulani basi sitoitembelea tena.....muda wa kuendelea kufuatilia anachokiandika ambacho mimi sikipendi sina. Heri nitumie muda huo kupeleka Wanangu Park wakacheze au nikoshe nywele zangu au kutengeneza Kucha au kwenda kufanya manunuzi at the end nifurahi moyoni......there are so much more in life than being a Troll. Unakosa usingizi ukifikiria nini cha kwenda kumuambia mtu in an attack way kwenye Site au Page yake.....unapata faida gani? Mimi Dinah kuacha kublog Dinahicious is nothing to do with January Makamba au mabadiliko ya Sheria Tz ni uamuzi binafsi. Ngoja nikusaidie kuelewa: Google walipokuja na mabadiliko ya Sheria Mwezi w

Namba ya Simu imekuwa too personal....

Heyaaa! Unawajua wale watu wanagawa namba yako ya Simu kwa watu wengine bila idhini yako. Tangu enzi mie nachukulia namba yangu ya simu ambayo haihusiani na "Kazi" ni personal na hakuna mtu anapaswa kuwa nayo isipokuwa wale ambao nadhani ni muhimu maishani mwangu kama sio leo basi huko baadae. Sasa kutokana na Maendeleo ya Kitekinolojia Simu si ndio zimezidi kuwa PERSONAL kuliko namba? Halafu unashangaa kwanini watu wanaweka Passwords au PIN ku access simu zao. Nilipopata simu yangu Mpya (kumbuka nimekuwa nyuma na  Teknolojia ya  Simu kwa Miaka 3.5)....so niliponunua ze latest simu si ndio ikanishtua. Ile mambo ya urahisi wa kupokea na kutuma Emails mdio ikanitisha kabsaaa. Nime add Email address nikaletewa the whole thing.....kumbuka sijagusa emails via desktop kwa miaka sasa nilipoona mafolda yaliyokontaini barua za wapita njia na some picha zao dated back in 1999 to 2005 si nikapata Mini heart attack! Nikabonyeza futa daima milele. Zaidi ya hizo kuna zile unasubiri m