Ni umri gani hasa unapaswa kumtoga Binti yako Masikio? Na je yeye kutoga masikio na kuvaa Hereni ni muhimu kwake au kwako wewe Mzazi?
Mie nilitogwa nikiwa mchanga (Miezi Sita) na nilichelewa, kutokana na Imani sijui Desturi ya mmoja wa Wazazi wangu ni lazima Binti wa kwanza atogwe na kuvalishwa Dhahabu.
Binti yetu alipofikisha Miezi 3 Baba yake akasema tumpeleke akatobolewe(Togwa) Masikio, mie nikapinga na ku-suggest kuwa tumuache na akikua ataamua mwenyewe kutoga au kutokutoga.
Nikaongeza, tena atakuwa na kitu cha ku-look forward to, mf: "nikifikisha miaka 15 natoboa Masikio".....kuliko tumalize kila kitu akiwa Mchanga halafu akikua tu tunaletewa Bf au Mjukuu kabisa sababu kila kitu tumekifanya akiwa bado mtoto.
Isitoshe (in my head) tunatoboa watoto masikio kwa ajili yetu wenyewe Wazazi, yeye mtoto wala hajali kama anavaa Hereni ama hana "kitobo" cha kuweka Hereni.
Baadhi ya Wazazi huku Ulayani wanachukulia kumtoga mtoto masikio ni abuse kwasababu hajui kwanini anaumia.....mmmh! Nakumbuka kwenye Kumtahiri Babuu, niliambiwa na Dokta wangu kuwa ni "abuse".....ikabidi tuende Private.
Aaah! Adha pekee ya kuzaa Kidume ni hiyo ya kushuhudia Kichanga wako "akikatwa" aiii mwanamke nililiaaaa sikujali cha Ganzi wala nini, kitendo cha kuona mwanangu mduchuuu "anatengenezwa"....labda akiaanza kuniletea Wakwe wa Kizungu hihihihi.
The thing is, kwa mtoto wa Kiume ni tofauti na Mtoto wa kike kwenye Kutoga. Kutahiriwa sio Urembo/Vanity ni Jadi/Utamaduni.
Alipoanza Nursery nkawa nahofia(ogopa) Carer wake atakuwa anamchunguza wakati wa kumbadilisha Nepi....maana hawajui kama watoto hutahiriwa wakiwa wadogo.....Ndio! Hihihihihi I am mwehu like that.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Mie nilitogwa nikiwa mchanga (Miezi Sita) na nilichelewa, kutokana na Imani sijui Desturi ya mmoja wa Wazazi wangu ni lazima Binti wa kwanza atogwe na kuvalishwa Dhahabu.
Binti yetu alipofikisha Miezi 3 Baba yake akasema tumpeleke akatobolewe(Togwa) Masikio, mie nikapinga na ku-suggest kuwa tumuache na akikua ataamua mwenyewe kutoga au kutokutoga.
Nikaongeza, tena atakuwa na kitu cha ku-look forward to, mf: "nikifikisha miaka 15 natoboa Masikio".....kuliko tumalize kila kitu akiwa Mchanga halafu akikua tu tunaletewa Bf au Mjukuu kabisa sababu kila kitu tumekifanya akiwa bado mtoto.
Isitoshe (in my head) tunatoboa watoto masikio kwa ajili yetu wenyewe Wazazi, yeye mtoto wala hajali kama anavaa Hereni ama hana "kitobo" cha kuweka Hereni.
Baadhi ya Wazazi huku Ulayani wanachukulia kumtoga mtoto masikio ni abuse kwasababu hajui kwanini anaumia.....mmmh! Nakumbuka kwenye Kumtahiri Babuu, niliambiwa na Dokta wangu kuwa ni "abuse".....ikabidi tuende Private.
Aaah! Adha pekee ya kuzaa Kidume ni hiyo ya kushuhudia Kichanga wako "akikatwa" aiii mwanamke nililiaaaa sikujali cha Ganzi wala nini, kitendo cha kuona mwanangu mduchuuu "anatengenezwa"....labda akiaanza kuniletea Wakwe wa Kizungu hihihihi.
The thing is, kwa mtoto wa Kiume ni tofauti na Mtoto wa kike kwenye Kutoga. Kutahiriwa sio Urembo/Vanity ni Jadi/Utamaduni.
Alipoanza Nursery nkawa nahofia(ogopa) Carer wake atakuwa anamchunguza wakati wa kumbadilisha Nepi....maana hawajui kama watoto hutahiriwa wakiwa wadogo.....Ndio! Hihihihihi I am mwehu like that.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments