Ulitegemea nitaorodhesha matukio yote ya mwaka huu? Hehehehe pole. Napenda kuwa tofauti.
Ahsante kwa kuichagua Blog hii siku ya leo ambayo ni ya Mwisho kabisa mwaka huu wa 2014, Ubarikiwe sana.
Wiki mbili zilizopita zilikuwa hectic kweli, si unajua Christmas inavyokuwa ukiwa na Watoto? Hasa mmoja ambae sasa yupo "Shule" na huko anafundishwa zaidi kuhusu "Santa na Presents" kuliko Kuzaliwa kwa Yesu...Achana na hili.
Sasa tangu nimekuwa Mama nimejikuta nasoma sana Forums zenye reviews mbalimbali kutoka kwa "real people" from Vipodozi to Kampuni za Umeme.
Nikawa kwenye Forum moja ya masuala ya Wazazi, Malezi, Mimba n.k. Nikawa nasoma review za aina ya Dawa ya Kuzuia Mimba (Uzazi wa Mpango)....mwanamke sijawahi kugusa hayo mavitu.
Kama kawaida hukosi maswali ya mabinti wadongo ambao wanataka kutumia Madawa hayo, nikisema wdogo kwa huku ninamaanisha 16 kushuka chini(inatisha, najua)!
Binti mmoja akasema anamiaka 22 na hajawahi kutumia Dawa yeyote ya kuzuia mimba zaidi ya Condoms....halafu akaomba radhi kwa kuwa "too late" kuanza kutumia Dawa hizo......hihihihihihihi nikaangalia huku na huku ili kuona kama kuna mtu ananiona(wakati nipo kwangu peke yangu).
22yrs old anajiona kachelewa kutumia Madawa ya Kuzuia mimba....mie mwenye 30na nitasemaje?
Acha uchafu, Mtu sio Mumeo, hujui hatima ya uhusiano wenu, huna mpango wa kuwa na watoto kwa sasa kwanini umruhusu akuwekee mauchafu yake mwilini mwako? Na utawekewe mara ngapi mpaka utakapofunga ndoa na kuamua kuzaa? Tumieni Condom huko mxsiii.
By the path, unataka kujua namna ya kutunza manywele yako? google "Long haire care Forum"....thank me mwakani.
Umaliziaji mzuri wa 2014, kifo hakihepukiki lakini unaweza kupunguza uwezekano....stay at home with your family.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Ahsante kwa kuichagua Blog hii siku ya leo ambayo ni ya Mwisho kabisa mwaka huu wa 2014, Ubarikiwe sana.
Wiki mbili zilizopita zilikuwa hectic kweli, si unajua Christmas inavyokuwa ukiwa na Watoto? Hasa mmoja ambae sasa yupo "Shule" na huko anafundishwa zaidi kuhusu "Santa na Presents" kuliko Kuzaliwa kwa Yesu...Achana na hili.
Sasa tangu nimekuwa Mama nimejikuta nasoma sana Forums zenye reviews mbalimbali kutoka kwa "real people" from Vipodozi to Kampuni za Umeme.
Nikawa kwenye Forum moja ya masuala ya Wazazi, Malezi, Mimba n.k. Nikawa nasoma review za aina ya Dawa ya Kuzuia Mimba (Uzazi wa Mpango)....mwanamke sijawahi kugusa hayo mavitu.
Kama kawaida hukosi maswali ya mabinti wadongo ambao wanataka kutumia Madawa hayo, nikisema wdogo kwa huku ninamaanisha 16 kushuka chini(inatisha, najua)!
Binti mmoja akasema anamiaka 22 na hajawahi kutumia Dawa yeyote ya kuzuia mimba zaidi ya Condoms....halafu akaomba radhi kwa kuwa "too late" kuanza kutumia Dawa hizo......hihihihihihihi nikaangalia huku na huku ili kuona kama kuna mtu ananiona(wakati nipo kwangu peke yangu).
22yrs old anajiona kachelewa kutumia Madawa ya Kuzuia mimba....mie mwenye 30na nitasemaje?
Acha uchafu, Mtu sio Mumeo, hujui hatima ya uhusiano wenu, huna mpango wa kuwa na watoto kwa sasa kwanini umruhusu akuwekee mauchafu yake mwilini mwako? Na utawekewe mara ngapi mpaka utakapofunga ndoa na kuamua kuzaa? Tumieni Condom huko mxsiii.
By the path, unataka kujua namna ya kutunza manywele yako? google "Long haire care Forum"....thank me mwakani.
Umaliziaji mzuri wa 2014, kifo hakihepukiki lakini unaweza kupunguza uwezekano....stay at home with your family.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments