Skip to main content

Posts

Mtu wa ku-share nae matatizo yako!

Ni nani? Kuna wakati unahisi kupata mtu wa kumuambia matatizo yako ili kushusha mzigo wa mawazo.......Kama ujuavyo kulizungumzia tatizo kunakusaidia Kisaikolojia kuhisi uzito wake mabegani umepungua. Mara zote huwa tunakimbilia kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki. .....mara chache huenda kwa Viongozi wa Dini. Mzazi huwa anakusikiliza na kukupa matumaini,  ndugu na jamaa hutoa ushauri pia marafiki hujitahidi kutoka mawazo yao. Mzazi kamwe hawezi kusambaza habari za tatizo lako kwa mtu mwingine hata kama ni dada yako mpaka labda aone kuwa maisha yako yapo hatarini. Ndugu....er inategemea maana kuzaliwa baba moja na mama mmoja sio lazima mpendane....marafiki nao hupeda kufananisha matatizo ya mtu na mtu na bila kujua wanajikuta wame-share matatizo ya wenzao na wengine ni wazuri kusikiliza na kushauri kisha wanakucheka au unakuwa hadithi ya kushangaza au kuaikitisha kwao. Viongozi wa Dini wa kisasa hutumia info za matatizo yako kama mfano au shuhuda kwa Waumini wao. Wengine hutumia

Men are Stronger than Women...

Kweli kabisa.... Wanaume ni Imara na wenye Nguvu "kimwili" (Misuli) kuliko sisi Wanawake lakini ukweli ni kwamba wengi wao ni "wadhaifu" sana kwa ndani (emotionally). Hukimbia matatizo au Changamoto za kifamilia badala ya kukabiliana nazo kwa ushirikiano na wake zao. Wapo radhi kuanza upya kuliko kukabiliana na changamoto za "life situations" mf, Magonjwa, Vifo, Ulemavu, ukosefu wa Kipato(pesa) na mengine yote ambayo sio "choice". Mwanamke humvumilia mwanaume kwa yote hayo niliyoyataja hapo juu na mengine ambayo ni "life choice" (hayavumiliki) ya Mume mtu....mf Ulevi, parting, Ufuska, Ubahili n.k. Uimara wetu ki-emotonal na ile motherly (sijui nini) tuliyoumbwa nayo hutufanya tubaki kwenye Ndoa/Uhusiano na kuwauguza wenzetu.....hali hii huwafanya baadhi yao kwenye Jamii kuamini kuwa ni "jukumu la mwanamke". Ukweli ni kuwa sio "jukumu" bali ni Umara wetu ka

2014....what a Year!

Ulitegemea nitaorodhesha matukio yote ya mwaka huu? Hehehehe pole. Napenda kuwa tofauti. Ahsante kwa kuichagua Blog hii siku ya leo ambayo ni ya Mwisho kabisa mwaka huu wa 2014, Ubarikiwe sana. Wiki mbili zilizopita zilikuwa hectic kweli, si unajua Christmas inavyokuwa ukiwa na Watoto? Hasa mmoja ambae sasa yupo "Shule" na huko anafundishwa zaidi kuhusu "Santa na Presents" kuliko Kuzaliwa kwa Yesu...Achana na hili. Sasa tangu nimekuwa Mama nimejikuta nasoma sana Forums zenye reviews mbalimbali kutoka kwa "real people" from Vipodozi to Kampuni za Umeme. Nikawa kwenye Forum moja ya masuala ya Wazazi, Malezi, Mimba n.k. Nikawa nasoma review za aina ya Dawa ya Kuzuia Mimba (Uzazi wa Mpango)....mwanamke sijawahi kugusa hayo mavitu. Kama kawaida hukosi maswali ya mabinti wadongo ambao wanataka kutumia Madawa hayo, nikisema wdogo kwa huku ninamaanisha 16 kushuka chini(inatisha, najua)! Binti mmoja akas

Je wee ni Muafrika Halisi?

Kwamba vizazi 9 vya pande zote mbili (baba/ yako, Babu/Bibi yako, Baba/Mama wa Babu/Bibi yako, Baba/Mama yake Babu/Bibi wa Baba/Mama yako na whoever kabla ya wote hao) vilivyopita kabla yako ni Waafrika Weusi asilia bila tone la Uarabu, Ujerumani, Ureno na Uingereza? Baada ya Obama wale Mchanganyiko wakaonyesha "rangi" yao, hasa wa huku....walikuwa wanaongea kwa uchungu na hasira kuwa wao sio Weusi bali ni Mixed, hawataki kutambuliwa kama Weusi bali Weusi na____!....Which was/is fair ila kwanini msubiri Mpaka wakati wa Obama?!!! Huwa nakerwa na tabia ya baadhi ya watu (hasa Mixed ambao U-mixed wao hauonekani bali Weusi wao) wanaopenda kusema "mie ni robo Mhindi,Nusu na robo Muingereza halafu Nusu Muafrika". Vita ya Ubaguzi kati ya Weusi Mixed na Real Weusi bado ipo na inaendelea kukua hasa baada ya "mapinduzi" ya Natura hair kwa African american aka Black peeps. Wale Real ndio wanahisi wanahitaji pongezi