Habari...
Mkorogo ni kutumia bidhaa "illegal" au "home made skin lightening" na "kujiton" ni kutumia bidhaa zilizothibitishwa na Jamaa wa Ubora wa Viwango eti?.....wote nia yao Moja.
Waafrika kwa Waafrika kwa ubaguzi wa rangi zetu hatujambo....tofauti ya Ubaguzi wetu sisi Watanzania ni kuwa hatutengani au kuuana kwa sababu baadhi yetu ni weusi sana au weupe sana.
Well, isipokuwa kama wewe ni Mweusi tii alafu huna nywele laini na unaishi Somalia au Sudani Kaskazini.....oh au Chotara ndani ya South Africa.
Ila Machotara ndio huwa wabaguzi zaidi kwa Weusi kuliko sisi wenyewe kwa wenyewe....Usiombe ukutane na Chotara wa Kizungu aliekubaliwa kwenye jamii ya Kizungu ayeee!!
Anyway, nukta hapa ni kuwa tofauti ya weusi wetu wa ngozi ndio hutufanya tuwatanie wenzetu na kuwaita majina....Mf: Cheusi dawa, Mpingo,Cha usiku n.k
Huu utani huwafanya baadhi(hasa wanawake) wajisikie wanyonge, hawavutii....inafikia mahali wanataka kufanya ngozi ing'ae kidogo wenyewe wanaita "kujiton".
Wao kufanya hivyo haina maana wanataka kuwa Wazungu au Waarabu, nadhani wanataka kujisikia vema kwani hakuna kosa "kuboresha" kitu ulichonacho au ulichopewa na kukifanya kiwe vile utakavyo.
Hakuna haja ya kuwasakama na kuwacheka wapaka Mkorogo na badala yake waelimishwe.
Kama ilivyo kwenye Masuala mengine ya Afya, watu waelimishwe kuhusu Matumizi ya "Sun creams", Elimu kuhusu "ingredient" za bidhaa wanazotumia ili wajue Chemikali hatari ni zipi na salama ni zipi wajue.
Miili yao ni mali yao, wanafanya watakacho...kama ni Saratani ya Ngozi au kuaa Figo ni juu yao (Dawa za Kuzuia mimba pia zinasababisha Saratani, Sigara je? Vipi Pombe? Uzinzi?.....)
Kama wee umezima ka' Ms. Lupita Nyongo, unajipenda na kujivunia weusi tii wako Power to you.
Haina "kujiamini" hapa hata mie ningekuwa nimezima ka' Umeme wa Tanesco aiii "ningejiton".... bahati mbaya Babu mzaa Bibi alikuwa Chotara (hivi nilikuambia.....hihihihi)
Takuona J'3.
Mapendo tele kwako...
Mkorogo ni kutumia bidhaa "illegal" au "home made skin lightening" na "kujiton" ni kutumia bidhaa zilizothibitishwa na Jamaa wa Ubora wa Viwango eti?.....wote nia yao Moja.
Waafrika kwa Waafrika kwa ubaguzi wa rangi zetu hatujambo....tofauti ya Ubaguzi wetu sisi Watanzania ni kuwa hatutengani au kuuana kwa sababu baadhi yetu ni weusi sana au weupe sana.
Well, isipokuwa kama wewe ni Mweusi tii alafu huna nywele laini na unaishi Somalia au Sudani Kaskazini.....oh au Chotara ndani ya South Africa.
Ila Machotara ndio huwa wabaguzi zaidi kwa Weusi kuliko sisi wenyewe kwa wenyewe....Usiombe ukutane na Chotara wa Kizungu aliekubaliwa kwenye jamii ya Kizungu ayeee!!
Anyway, nukta hapa ni kuwa tofauti ya weusi wetu wa ngozi ndio hutufanya tuwatanie wenzetu na kuwaita majina....Mf: Cheusi dawa, Mpingo,Cha usiku n.k
Huu utani huwafanya baadhi(hasa wanawake) wajisikie wanyonge, hawavutii....inafikia mahali wanataka kufanya ngozi ing'ae kidogo wenyewe wanaita "kujiton".
Wao kufanya hivyo haina maana wanataka kuwa Wazungu au Waarabu, nadhani wanataka kujisikia vema kwani hakuna kosa "kuboresha" kitu ulichonacho au ulichopewa na kukifanya kiwe vile utakavyo.
Hakuna haja ya kuwasakama na kuwacheka wapaka Mkorogo na badala yake waelimishwe.
Kama ilivyo kwenye Masuala mengine ya Afya, watu waelimishwe kuhusu Matumizi ya "Sun creams", Elimu kuhusu "ingredient" za bidhaa wanazotumia ili wajue Chemikali hatari ni zipi na salama ni zipi wajue.
Miili yao ni mali yao, wanafanya watakacho...kama ni Saratani ya Ngozi au kuaa Figo ni juu yao (Dawa za Kuzuia mimba pia zinasababisha Saratani, Sigara je? Vipi Pombe? Uzinzi?.....)
Kama wee umezima ka' Ms. Lupita Nyongo, unajipenda na kujivunia weusi tii wako Power to you.
Haina "kujiamini" hapa hata mie ningekuwa nimezima ka' Umeme wa Tanesco aiii "ningejiton".... bahati mbaya Babu mzaa Bibi alikuwa Chotara (hivi nilikuambia.....hihihihi)
Takuona J'3.
Mapendo tele kwako...
Comments