....relax is a human nature!
Tangu u-single mother umekuwa "fashion" vijana karibu wote wa late 20s na early 30s walishazaa huko nyuma, hivyo ni ngumu kweli kukutana na mtu ambae ni "m-clean" ka' wewe (hana mtoto/watoto).
Shughuli inakuja kwa sie tuliozaa(Oa/Olewa) na Wanawake/Wanaume ambao washalizaaga "ujanani" huwa tunajajiwa sana yaani.
Unaonekana "Mwizi" kwenye jamii na familia, hata mtoto aliezaliwa kabla wewe hujakutana na Baba/Mama yake uhisi kuwa wewe ndio sababu ya Baba/Mama yake kula Buti la pua ( I know how it feels cause I was a kid once).
Unaenda mahali na Mumeo/Mkeo na tutoto twenu (bila yule wa kabla) watu wanawasonta-sonta (Shinganya Oyee!! Kusonta ni kukunyooshea kidole kama ulikuwa hujui)....anyway!
Wengine bila haya wanaanza kuuliza "nanilihu na Mama/Baba yake hawajambo" mbele yako just to piss you off....Mindugu mingine Mikosi kweli!!?
Inafikia mahali unajistukia na kuhisi kutaka kujieleza ili kuweka mambo sawa, "Ndugu jamaa na Marafiki mimi sio Mwizi, nimekutana na huyu mutu miaka 5 baadaye. Wezi ni hao walipita hapo kati kabla yangu".
Alafu unakumbuka....aiii kwani mnanisaidia kulipa Bills? Unasonga mbele kama ifuatavyo.....
Ni muhimu kuhakikisha mkibaba/Mkimama aliachana na Mkimama/Mkibaba aliezaa nae angalau miaka 2-3 kabla yako.....ili kuwe na wengine kati wamepita/pitiwa kabla yako.
*whispering* Ukiweza epuka kuoa/olewa na aliekwisha zaa kabla, unless you want to stick with an Ex for the rest of your remaining years na kujajiwa....!
I hate EXes....oh! Kumbe na mimi ni Ex wa mtu?....I hate me too.
Kwaheri kwa sasa....
Mapendo tele kwako...
Tangu u-single mother umekuwa "fashion" vijana karibu wote wa late 20s na early 30s walishazaa huko nyuma, hivyo ni ngumu kweli kukutana na mtu ambae ni "m-clean" ka' wewe (hana mtoto/watoto).
Shughuli inakuja kwa sie tuliozaa(Oa/Olewa) na Wanawake/Wanaume ambao washalizaaga "ujanani" huwa tunajajiwa sana yaani.
Unaonekana "Mwizi" kwenye jamii na familia, hata mtoto aliezaliwa kabla wewe hujakutana na Baba/Mama yake uhisi kuwa wewe ndio sababu ya Baba/Mama yake kula Buti la pua ( I know how it feels cause I was a kid once).
Unaenda mahali na Mumeo/Mkeo na tutoto twenu (bila yule wa kabla) watu wanawasonta-sonta (Shinganya Oyee!! Kusonta ni kukunyooshea kidole kama ulikuwa hujui)....anyway!
Wengine bila haya wanaanza kuuliza "nanilihu na Mama/Baba yake hawajambo" mbele yako just to piss you off....Mindugu mingine Mikosi kweli!!?
Inafikia mahali unajistukia na kuhisi kutaka kujieleza ili kuweka mambo sawa, "Ndugu jamaa na Marafiki mimi sio Mwizi, nimekutana na huyu mutu miaka 5 baadaye. Wezi ni hao walipita hapo kati kabla yangu".
Alafu unakumbuka....aiii kwani mnanisaidia kulipa Bills? Unasonga mbele kama ifuatavyo.....
Ni muhimu kuhakikisha mkibaba/Mkimama aliachana na Mkimama/Mkibaba aliezaa nae angalau miaka 2-3 kabla yako.....ili kuwe na wengine kati wamepita/pitiwa kabla yako.
*whispering* Ukiweza epuka kuoa/olewa na aliekwisha zaa kabla, unless you want to stick with an Ex for the rest of your remaining years na kujajiwa....!
I hate EXes....oh! Kumbe na mimi ni Ex wa mtu?....I hate me too.
Kwaheri kwa sasa....
Mapendo tele kwako...
Comments