Nimekatiza mahali mtaa wa ki-Posh nikakutana na "Bei Nanini CafE" haraka haraka akilini ikaja "Price and what's not"....not exactly what they meant ni mimi tu na Utamu wa Kiswahili.....liwache hili!
Unakumbuka enzi zako ulipokuwa unakuwa miaka ya 92+ hapo ndio Tv zinaanza kuchanganya(sio Vituo) bali watu kumiliki Tv(wageni wa Jioni wakapungua nyumbani kwetu).
Kila ulichokuwa ukifanya Mzazi wako anakukatalia akisema "enzi zetu tulikuwa hivi na vile....sio nyie watoto wa siku hizi"!
Halafu unatamani kumuambia "sasa Mama enzi zako si zimeisha, hizi zetu" lakini huwezi, unaishia kununa.
Nakumbuka Baba(Marehemu) alikuwa anasema "hivi huko Madukani hakuna nguo za wakubwa, zote ni za watoto tu?" Akimaanisha zinabana au fupi!....tukamwambia "Baba hii ndio mitindo ya kileo".....alisema "vaeni mtakavyo lakini mkija Ofinisi kwangu sitaki kuona chupi ndefu" (Suruali za Kubana).
Je! Huoni kuwa na wewe umekuwa kama wazazi wako? Kutwa kufananisha enzi zako na enzi hizi....Lione vile!(Hihihihi).
Akyanani vile mie nimekuwa ka' wao....ila tofauti yangu najikumbusha mwenyewe kuwa ule ulikuwa wakati wangu na huu ni wakati wao.
Wali kizazi cha Santuri, Mie Kizazi cha Kaseti, wao Kizazi cha Mp3 wapi na wapi?!!!!.....Dinah funga Domo lako muda wako wa Kaseti?!! Kaseti kweli si nimezikuta mie! Nadhani mie ni Kizazi cha CD....(Nimesahau jinsi ya kumalizia hapo).
My 3yr boy aniambia "mummy you are useless on games, let me show you how to play"....hiki kizazi cha Code ni balaa asavali cha Mp3!!!
Cheers!
Mapendo tele kwako...
Unakumbuka enzi zako ulipokuwa unakuwa miaka ya 92+ hapo ndio Tv zinaanza kuchanganya(sio Vituo) bali watu kumiliki Tv(wageni wa Jioni wakapungua nyumbani kwetu).
Kila ulichokuwa ukifanya Mzazi wako anakukatalia akisema "enzi zetu tulikuwa hivi na vile....sio nyie watoto wa siku hizi"!
Halafu unatamani kumuambia "sasa Mama enzi zako si zimeisha, hizi zetu" lakini huwezi, unaishia kununa.
Nakumbuka Baba(Marehemu) alikuwa anasema "hivi huko Madukani hakuna nguo za wakubwa, zote ni za watoto tu?" Akimaanisha zinabana au fupi!....tukamwambia "Baba hii ndio mitindo ya kileo".....alisema "vaeni mtakavyo lakini mkija Ofinisi kwangu sitaki kuona chupi ndefu" (Suruali za Kubana).
Je! Huoni kuwa na wewe umekuwa kama wazazi wako? Kutwa kufananisha enzi zako na enzi hizi....Lione vile!(Hihihihi).
Akyanani vile mie nimekuwa ka' wao....ila tofauti yangu najikumbusha mwenyewe kuwa ule ulikuwa wakati wangu na huu ni wakati wao.
Wali kizazi cha Santuri, Mie Kizazi cha Kaseti, wao Kizazi cha Mp3 wapi na wapi?!!!!.....Dinah funga Domo lako muda wako wa Kaseti?!! Kaseti kweli si nimezikuta mie! Nadhani mie ni Kizazi cha CD....(Nimesahau jinsi ya kumalizia hapo).
My 3yr boy aniambia "mummy you are useless on games, let me show you how to play"....hiki kizazi cha Code ni balaa asavali cha Mp3!!!
Cheers!
Mapendo tele kwako...
Comments