Heloooooooo there!
Mie huwa sishangai mtu akimchomekeza Jamaa yake (binamu, mtoto wa ba' mdogo).....nilishakuambia Ndugu ni wale mnaochangia Damu kwa Baba na Mama vinginevyo nyie ni jamaa tu!
Hii haina "Dinah kakaa sana Ulaya kabadilika"....tangu Mdogo mie huwa siwachukulii Jamaa kuwa Ndugu! Ndugu zangu ni wale tuliotoka Tumbo Moja au Baba na Mama Mmoja.....kama hutaki kukubali bana shauri yako!
Mambo ya kulazimisha Undugu bana ni kumaskishana (kutiana umasikini) na kuongezeana ma-stress tu.....hii ndio huwakosesha watu "bahati" ya kufanikiwa.
Bana mie ningekuwa sijui nani ni nani Serikalini halafu kuna nafasi za kazi zinapatikana unadhani nitakuajiri wewe wakati nina Mpwa wangu (Jamaa) anaelimu na ujuzi ka' wako nyumbani? Aiii nitampa nafasi yeye kwanza, akiikataa ndio wewe wa Nje utafikiriwa.
Najua sheria za kazi na kadhalika BUT Mpwa wangu sio Ndugu yangu, hatu-shei damu wala Ubini sasa undugu unatoka wapi hapo?!!!
Kuwa mkweli! Hata wewe ungefanya hivyo....kila mtu anafanya hivyo.....kama hufanyi hivyo basi wewe unaroho mbaya sana.
Nakuona hapo unataka kusema "ndio maana wenzetu Wazungu wanaendelea kwasababu hawawekani"......umeishi nao? Umewahi kufanya nao kazi Nchini mwao?
Wazungu wanawekana like nothing else, tofauti ni kama nilivyosema Binamu sio Ndugu yake.....Mtoto wa Dada yako sio Ndugu yake so hata akiwaweka kwenye "Office" hakuna anaejua "connection" ya Ujamaa.
Kumuweka Mdogo wako, Mkeo au Mwanao sasa hilo ndio Kosa!
Babai.
Mapendo tele kwako...
Mie huwa sishangai mtu akimchomekeza Jamaa yake (binamu, mtoto wa ba' mdogo).....nilishakuambia Ndugu ni wale mnaochangia Damu kwa Baba na Mama vinginevyo nyie ni jamaa tu!
Hii haina "Dinah kakaa sana Ulaya kabadilika"....tangu Mdogo mie huwa siwachukulii Jamaa kuwa Ndugu! Ndugu zangu ni wale tuliotoka Tumbo Moja au Baba na Mama Mmoja.....kama hutaki kukubali bana shauri yako!
Mambo ya kulazimisha Undugu bana ni kumaskishana (kutiana umasikini) na kuongezeana ma-stress tu.....hii ndio huwakosesha watu "bahati" ya kufanikiwa.
Bana mie ningekuwa sijui nani ni nani Serikalini halafu kuna nafasi za kazi zinapatikana unadhani nitakuajiri wewe wakati nina Mpwa wangu (Jamaa) anaelimu na ujuzi ka' wako nyumbani? Aiii nitampa nafasi yeye kwanza, akiikataa ndio wewe wa Nje utafikiriwa.
Najua sheria za kazi na kadhalika BUT Mpwa wangu sio Ndugu yangu, hatu-shei damu wala Ubini sasa undugu unatoka wapi hapo?!!!
Kuwa mkweli! Hata wewe ungefanya hivyo....kila mtu anafanya hivyo.....kama hufanyi hivyo basi wewe unaroho mbaya sana.
Nakuona hapo unataka kusema "ndio maana wenzetu Wazungu wanaendelea kwasababu hawawekani"......umeishi nao? Umewahi kufanya nao kazi Nchini mwao?
Wazungu wanawekana like nothing else, tofauti ni kama nilivyosema Binamu sio Ndugu yake.....Mtoto wa Dada yako sio Ndugu yake so hata akiwaweka kwenye "Office" hakuna anaejua "connection" ya Ujamaa.
Kumuweka Mdogo wako, Mkeo au Mwanao sasa hilo ndio Kosa!
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments