Haiyaaaaa (Waswahili wa huku ndio wanasalimiana hivyo)....Wakishua wanasema how do yo do.....asa nani anamuda wa "hau-du-yu-du Maisha haya?!!
Unakumbuka enzi Reality shoo zinaanza kulikuwa na slogan ya "Movies are boring, Reality is exciting"....well not exactly ila ili-sound hivyo bana eh!
Basi bana si Ndio akina Kadarshian* wakaanza na mimi nikiwa mmoja wa watazamaji wa mwanzo kabisa nikiamini kuwa nilichokuwa nakiona ni uhalisia wa Maisha yao....kwa miaka miwili.....mai miaka Miwili naangalia scripted "reality" Tv shoo (nalia hapa kwa aibu).
Basi bwana, nikaacha kuangalia na kuchukia Reality Tv shoo zote ikiwemo Big Brother!
Sasa nilipomimbika 2012 nilianza Likizo ya Uzazi nikiwa na Mimba ya Miezi 5.....unataka kujua kwanini? Hehehehehe aiii nilikuwa "rough" sana na kazi yangu inahitaji u-smart bana, nkaona mmh ntakosa Maternity Leave hapa, mwanamke wacha nikimbie mapemaa(natania).
2012 ndio nikaanza tena kuangalia "Real House Wives" tena marathon ili nitosheke, hee nkawa addicted (blame it on Mimba, akyanani vile halikuwa kosa langu)....nikaanza kuhisi nazidi kuwa Mjinga lakini nikashindwa kuacha mapaka nilipojifungua 2013 phewww!!
Baada ya hapo nikaja gundua Mary Mary nao wana Reality Tv show, knowing wale ni Wajukuu wa Yesu nkajisemea hawawezi kukubali show yao iwe scripted(hawatokubali kucheza uongo ili kunogesha show) aiii Kitukuu cha Yesu nikaanza kuangalia.
Uzuri wa Mary-Mary ilikuwa kuimba-imba hapo wimbo wa "Go get it" ndio unazidi kunibamba....mwanamke nacheza nakuliachia tumbo langu la uzazi linarukaruka.
Mara booom! One of Mary-Mary hubby ka-cheat....sijui nini na nini...imagine hau lavi davi in jizasi nemu thei wea kwenye lishoo lao alafu sasa....mxsiii SCRIPTED!
Oh! Kijana wangu wa Miaka 3 anaimba ile wimbo ya Ali Kiba Ft Bonge la nyau "ukanifanya nilale njaa ili wewe usije kosa" mpaka nafurahi, Kiswahili kitamu.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Unakumbuka enzi Reality shoo zinaanza kulikuwa na slogan ya "Movies are boring, Reality is exciting"....well not exactly ila ili-sound hivyo bana eh!
Basi bana si Ndio akina Kadarshian* wakaanza na mimi nikiwa mmoja wa watazamaji wa mwanzo kabisa nikiamini kuwa nilichokuwa nakiona ni uhalisia wa Maisha yao....kwa miaka miwili.....mai miaka Miwili naangalia scripted "reality" Tv shoo (nalia hapa kwa aibu).
Basi bwana, nikaacha kuangalia na kuchukia Reality Tv shoo zote ikiwemo Big Brother!
Sasa nilipomimbika 2012 nilianza Likizo ya Uzazi nikiwa na Mimba ya Miezi 5.....unataka kujua kwanini? Hehehehehe aiii nilikuwa "rough" sana na kazi yangu inahitaji u-smart bana, nkaona mmh ntakosa Maternity Leave hapa, mwanamke wacha nikimbie mapemaa(natania).
2012 ndio nikaanza tena kuangalia "Real House Wives" tena marathon ili nitosheke, hee nkawa addicted (blame it on Mimba, akyanani vile halikuwa kosa langu)....nikaanza kuhisi nazidi kuwa Mjinga lakini nikashindwa kuacha mapaka nilipojifungua 2013 phewww!!
Baada ya hapo nikaja gundua Mary Mary nao wana Reality Tv show, knowing wale ni Wajukuu wa Yesu nkajisemea hawawezi kukubali show yao iwe scripted(hawatokubali kucheza uongo ili kunogesha show) aiii Kitukuu cha Yesu nikaanza kuangalia.
Uzuri wa Mary-Mary ilikuwa kuimba-imba hapo wimbo wa "Go get it" ndio unazidi kunibamba....mwanamke nacheza nakuliachia tumbo langu la uzazi linarukaruka.
Mara booom! One of Mary-Mary hubby ka-cheat....sijui nini na nini...imagine hau lavi davi in jizasi nemu thei wea kwenye lishoo lao alafu sasa....mxsiii SCRIPTED!
Oh! Kijana wangu wa Miaka 3 anaimba ile wimbo ya Ali Kiba Ft Bonge la nyau "ukanifanya nilale njaa ili wewe usije kosa" mpaka nafurahi, Kiswahili kitamu.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments