Inapendeza sana na unapata hisia maalum za kipekee unapokutana na "High End" new publication wanazugumzia kitu ambacho wewe(Mimi) "nisiejulikana End" nimekizungumzia Mawiki na Mawiki yaliyopita!
Unakumbuka Feminisim?hiyo ilikuwa Wiki iliyopita so achana nayo!....unakumbuka "kujilinganisha/fananisha"?.....aaah Dinah naona mbali sana ujue, nafaa kuwa Rais wa KissWay?!!! (*nimeacha kuchapa nacheka kwanza*).
Pengine bila kujua unachapisha maelezo ya siku yako ilivyokuwa "njema" au unaweka picha au unaweza tu ku-share ulichonunua wiki hii kwa ajili ya wanao au mwenyewe n.k.....ni sehemu ya maisha yako hivyo unadhani ni poa tu uki-share na watu wanaofuatilia "kurasa" yako popote ulipo kwenye Social Media.
Kuna mahali unafikia unakuwa karibu sana na watu hao ambao huwajui(mnakuwa connected), sometimes mna-miss-iana.....Jinsia tofauti hapa lazma "lust" au hata "love" hujitokeza....duh! Nilikuwa nazungumzia nini kwani? Mweeee.....!!!
Oh, nimekumbuka....Baadhi ya wafuatiliaji wako (au wewe mwenyewe maana Sosho midia ni 2ways) ama wanaumia kwasababu hawawezi kuwa na maisha ka' wewe au wanataka kuwa na maisha kama wewe au wanataka kukupita au kuonyesha kuwa wamekupita.....hapo sasa Kujilinganisha/Kujifananisha kunapojitokeza.
Hii sasa inachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza hali ya kujiamini kwa baadhi ya watu, wanakosa raha na kujiongezea msongo wa Mawazo.
Ongezeko la Kipato kwa Wanasaikotherapi na ni Tenda mpya ya Wa-Famasia kuja na Dawa ya "disorder" hii mupya iitwayo CCD(Constant Comparison Disorder"....ambayo inaharibu maisha ya watu.
Ujue Maisha ya Kawaida ya Ulayani nilipo ni Luxury kwa baadhi ya watu huko nilikotoka, sasa sio mbaya kama tukijaribu ku-limit tu-share-ayo na wenzetu hasa wale wa Kunyumba!
Hivi by the time nafikisha Miaka 50, Cosmetics surgery si itakuwa imeshuka bei?!!!
Babai
Mapendo tele kwako...
Unakumbuka Feminisim?hiyo ilikuwa Wiki iliyopita so achana nayo!....unakumbuka "kujilinganisha/fananisha"?.....aaah Dinah naona mbali sana ujue, nafaa kuwa Rais wa KissWay?!!! (*nimeacha kuchapa nacheka kwanza*).
Pengine bila kujua unachapisha maelezo ya siku yako ilivyokuwa "njema" au unaweka picha au unaweza tu ku-share ulichonunua wiki hii kwa ajili ya wanao au mwenyewe n.k.....ni sehemu ya maisha yako hivyo unadhani ni poa tu uki-share na watu wanaofuatilia "kurasa" yako popote ulipo kwenye Social Media.
Kuna mahali unafikia unakuwa karibu sana na watu hao ambao huwajui(mnakuwa connected), sometimes mna-miss-iana.....Jinsia tofauti hapa lazma "lust" au hata "love" hujitokeza....duh! Nilikuwa nazungumzia nini kwani? Mweeee.....!!!
Oh, nimekumbuka....Baadhi ya wafuatiliaji wako (au wewe mwenyewe maana Sosho midia ni 2ways) ama wanaumia kwasababu hawawezi kuwa na maisha ka' wewe au wanataka kuwa na maisha kama wewe au wanataka kukupita au kuonyesha kuwa wamekupita.....hapo sasa Kujilinganisha/Kujifananisha kunapojitokeza.
Hii sasa inachangia kwa kiasi kikubwa kupunguza hali ya kujiamini kwa baadhi ya watu, wanakosa raha na kujiongezea msongo wa Mawazo.
Ongezeko la Kipato kwa Wanasaikotherapi na ni Tenda mpya ya Wa-Famasia kuja na Dawa ya "disorder" hii mupya iitwayo CCD(Constant Comparison Disorder"....ambayo inaharibu maisha ya watu.
Ujue Maisha ya Kawaida ya Ulayani nilipo ni Luxury kwa baadhi ya watu huko nilikotoka, sasa sio mbaya kama tukijaribu ku-limit tu-share-ayo na wenzetu hasa wale wa Kunyumba!
Hivi by the time nafikisha Miaka 50, Cosmetics surgery si itakuwa imeshuka bei?!!!
Babai
Mapendo tele kwako...
Comments