Jiadhari, inaua!
Wataalamu wanaamini kuwa kila Mwanadamu anaumwa Akili(anaugonjwa fulani wa Akili) na huwa triggered na aina ya Maisha anayoishi mhusika.
Sasa kuna wale watu wako so dedicated na Imani zao mpaka unahisi akili zao hazipo sawa....hizo mtu zipo Addicted (Dini imetriga Gonjwa la Akili).
Kama zilivyo addictions nyingine Imani ya Dini inaharibu Mahusiano, Inasababisha Mfarakano kati ya familia na familia na hatimae kupoteza Maisha au kumfanya Muathirika kuishi Maisha yale yale wakati Mkuu wa Dini (Zungu) anafurahia the High life + attention ya Jamii.
Nakumbuka enzi, Mtu (kwenye familia yangu) alikuwa yupo radhi kupeleke "fungu la Kumi" kanisani kila Mwezi kuliko kuwanunua watoto wake mahitaji muhimu.
Ilifikia mahali anasomesha watoto wa Waumini wengine wakati Elimu ya watoto wake haieleweki.
Addiction ilinoga akaamua kuacha kazi ili "afanye kazi ya Bwana"....akawa anaamka asubuhi kwenda Kanisani na kurudi jioni (kama alivyokuwa akifanya kazi).
Alikesha akiomba, alifunga na kuomba for weeks mpaka anakondeana na kushindwa kutembea...ndio anafungulia. Akipata nguvu anafunga tena hehehehehe Magonjwa ya akili yaja in every form and shape, I tell you.
Kuna wale wajao kwenye Blog ile nyingine na kuweka maelezo ya "addiction" zao kwenye Comments which huwa nazidharau.
"Hilo ni tatizo dogo sana, Mgeukie Mungu atakusaidia, atamrudisha Mkeo/Mumeo....kwa Maombi piga namba hii"....
"Kwa maombi ya kuoa au kuolewa haraka, niandikie" yeah right "Zungu la Dini" tafuta supplier Mwingine....!
Waliotuletea Dini wanasema Mungu yupo kwa ajili ya kukupa Comfort (kuongea mwenyewe ukiamini unasikilizwa bila kujibiwa ni therapy)....Juhudi zako, Kujiamini kwako kuwa utaweza na utafanikisha ndio kunafanikisha Mambo.....*whispering* Sio Mungu.
Namuamini Mungu, ni sehemu muhimu ya Maisha yangu....lakini!!!
Babai...
Mapendo tele kwako...
Wataalamu wanaamini kuwa kila Mwanadamu anaumwa Akili(anaugonjwa fulani wa Akili) na huwa triggered na aina ya Maisha anayoishi mhusika.
Sasa kuna wale watu wako so dedicated na Imani zao mpaka unahisi akili zao hazipo sawa....hizo mtu zipo Addicted (Dini imetriga Gonjwa la Akili).
Kama zilivyo addictions nyingine Imani ya Dini inaharibu Mahusiano, Inasababisha Mfarakano kati ya familia na familia na hatimae kupoteza Maisha au kumfanya Muathirika kuishi Maisha yale yale wakati Mkuu wa Dini (Zungu) anafurahia the High life + attention ya Jamii.
Nakumbuka enzi, Mtu (kwenye familia yangu) alikuwa yupo radhi kupeleke "fungu la Kumi" kanisani kila Mwezi kuliko kuwanunua watoto wake mahitaji muhimu.
Ilifikia mahali anasomesha watoto wa Waumini wengine wakati Elimu ya watoto wake haieleweki.
Addiction ilinoga akaamua kuacha kazi ili "afanye kazi ya Bwana"....akawa anaamka asubuhi kwenda Kanisani na kurudi jioni (kama alivyokuwa akifanya kazi).
Alikesha akiomba, alifunga na kuomba for weeks mpaka anakondeana na kushindwa kutembea...ndio anafungulia. Akipata nguvu anafunga tena hehehehehe Magonjwa ya akili yaja in every form and shape, I tell you.
Kuna wale wajao kwenye Blog ile nyingine na kuweka maelezo ya "addiction" zao kwenye Comments which huwa nazidharau.
"Hilo ni tatizo dogo sana, Mgeukie Mungu atakusaidia, atamrudisha Mkeo/Mumeo....kwa Maombi piga namba hii"....
"Kwa maombi ya kuoa au kuolewa haraka, niandikie" yeah right "Zungu la Dini" tafuta supplier Mwingine....!
Waliotuletea Dini wanasema Mungu yupo kwa ajili ya kukupa Comfort (kuongea mwenyewe ukiamini unasikilizwa bila kujibiwa ni therapy)....Juhudi zako, Kujiamini kwako kuwa utaweza na utafanikisha ndio kunafanikisha Mambo.....*whispering* Sio Mungu.
Namuamini Mungu, ni sehemu muhimu ya Maisha yangu....lakini!!!
Babai...
Mapendo tele kwako...
Comments