Lazima umeisikia hii kwa Wanawake wengi wa kileo....Mimi sifurahii kuwa Mama (way too hard) ila najivunia kuwa Mama kwa wanangu.
Kuna wale wanawake ambao wakikua tu wanatamani kuwa Mama (kuzaa) yaani kuwa mama ni muhimu kwenye "list" ya mambo wayatakayo Maishani.
Mimi sikuwa hivyo, yaani kuzaa haikuwemo kabisa akilini mwangu....nilijua siku moja nitazaa, lakini sikuwa na haraka au niseme urge/desire ya kuwa na Mtoto.
Hata nilipojifungua Wanagu sikupata ile hisia wanazopata wanawake wote(wengi waogo hehehehe) "falling in love like never before" au "falling in love all over again"....nilijipa "hi5" in my head nikafurahi na kuwa-proud huku nikujiuliza "kapitapitaje pale"?
Haina maana siwapendi Wanangu la hasha! Nawapenda sana na siwezi kuishi bila uwepo wao....hata kwa masaa machache yaani SIWEZI.
Ila Mapenzi kwa wanangu hayakuhitaji mimi ku-fall in love na Mapenzi kwa Mtu baki ndio huitaji ku-fall (in my head).
Ze pointi izi.....Sio wote tunafurahia kuwa Mama, bali tunajivunia kuwa Mama na Umama kama Kazi is freaking Hard, harder than Going to work in the Office (where unapozwa na Mshahara) and I don't like the kazi.
Guilt ndio inakufanya useme " I enjoy being a mother" kuwa mkweli you don't enjoy that job sema huna jinsi....hihihihihihi.
Babai...
Mapendo tele kwako...
Kuna wale wanawake ambao wakikua tu wanatamani kuwa Mama (kuzaa) yaani kuwa mama ni muhimu kwenye "list" ya mambo wayatakayo Maishani.
Mimi sikuwa hivyo, yaani kuzaa haikuwemo kabisa akilini mwangu....nilijua siku moja nitazaa, lakini sikuwa na haraka au niseme urge/desire ya kuwa na Mtoto.
Hata nilipojifungua Wanagu sikupata ile hisia wanazopata wanawake wote(wengi waogo hehehehe) "falling in love like never before" au "falling in love all over again"....nilijipa "hi5" in my head nikafurahi na kuwa-proud huku nikujiuliza "kapitapitaje pale"?
Haina maana siwapendi Wanangu la hasha! Nawapenda sana na siwezi kuishi bila uwepo wao....hata kwa masaa machache yaani SIWEZI.
Ila Mapenzi kwa wanangu hayakuhitaji mimi ku-fall in love na Mapenzi kwa Mtu baki ndio huitaji ku-fall (in my head).
Ze pointi izi.....Sio wote tunafurahia kuwa Mama, bali tunajivunia kuwa Mama na Umama kama Kazi is freaking Hard, harder than Going to work in the Office (where unapozwa na Mshahara) and I don't like the kazi.
Guilt ndio inakufanya useme " I enjoy being a mother" kuwa mkweli you don't enjoy that job sema huna jinsi....hihihihihihi.
Babai...
Mapendo tele kwako...
Comments