Alafu mkifika nyumbani anaku-de-code-a yote....hapo sasa ama utadanganywa kabisa au utapewa robo ya ukweli(utadanganywa kwa robo tatu).
Unajua upokwenda kutembelea watu mnaofahamiana au unapokuwa kwenye shughuli kwa kawaida inayojumuisha watu mbalimbali baadhi yetu tunaofahamiana/juana sana huongea kwa "Code" au unavutwa pembeni kisha unaambiwa jambo au kuombwa Msaada.
Nia na madhumuni ni ili watu wengine wasielewe, wanasahau kuwa watu tunaupeo tofauti, baadhi "tunadikodi" hapo hapo......wengine ndio mpaka wasubiri "wadikodiwe" na Wenza wao watakapofika nyumbani.
Natumai unaendelea vema, mimi leo bana sijielewi-elewi, yaani ka' nimepigwa au nimefanya kazi ngumu sana ningekuwa kwetu(KissWay) ningesema "nililimishwa" Usiku wa kuamkia leo.
Heri ya Wiki Mpya!
Babai.
Mapendo tele kwako...
Unajua upokwenda kutembelea watu mnaofahamiana au unapokuwa kwenye shughuli kwa kawaida inayojumuisha watu mbalimbali baadhi yetu tunaofahamiana/juana sana huongea kwa "Code" au unavutwa pembeni kisha unaambiwa jambo au kuombwa Msaada.
Nia na madhumuni ni ili watu wengine wasielewe, wanasahau kuwa watu tunaupeo tofauti, baadhi "tunadikodi" hapo hapo......wengine ndio mpaka wasubiri "wadikodiwe" na Wenza wao watakapofika nyumbani.
Natumai unaendelea vema, mimi leo bana sijielewi-elewi, yaani ka' nimepigwa au nimefanya kazi ngumu sana ningekuwa kwetu(KissWay) ningesema "nililimishwa" Usiku wa kuamkia leo.
Heri ya Wiki Mpya!
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments