Naitaka sana yaani, sitaki kuzeeka bila kuipata....shughuli inakuja ni lini hasa nitarudi "shule"?
Baada ya kupiga mahisabati nadhani by the time nagonga Miaka 50 Mwenye enzi Mungu akibariki mwanangu wa Pili (mwisho) atakuwa kwenye Teen kati hivi na huo ndio utakuwa muda mzuri.
Nia sio kupanda Cheo au kugombea Uwaziri(Ubunge) la hasha! Ni kutimiza Malengo niliyojiwekea kuwa kabla sijazeeka niwe na kaelimu katika levo ya "Udaktari" Dk Dinah blablabla.
Sasa angalau mie nilisomaga (si ndio nkachelewa kuzaa!Nilitaka kula life kabla ya Majukumu).....Mambo ya kutoka Binti wa_____ to Mke na Mama wa_____ in my early 20s haikunivutia....Ningeishi Mimi kama mimi lini sasa eti?!!!
Anyway, kwa wale "baadhi" walioamua kuanza na Mke na Mama wa_____ hu kurudi "shule" baada ya watoto kukua which ni kitu kizuri ila unakuwa "hujayafaidi" maisha ya Usichanani....ule uhuru wa kutokuwa na Majukumu au kufikiria watoto na Mumeo kwenye kila maamuzi ufanyayo.
Baada ya kumaliza malezi ya watoto na kurudi "Darasani", Mwanamke (Wake) huongeza ile hali ya kujiamini kitu ambacho huwa kinawakera sana Wanaume (Waume) na kuwapotezea hali ya kujiamini.
Unakaa Darasani na Vijana eeh....(Wanaovutiwa na Wamama wenye uzoefu hihihihihihi).....Mwanamke unaaza kujisikia na kujiona bado wamo....mara Gym inaanza, Mara routine za Skin care ambazo hujawahi kuzifanya(ulikuwa busy na malezi ya watoto)....mara mavazi na ulaji vinabadilika!
Sio kwamba mwanamke unataka kutoka na Dogo-dogo la hasha! na si kweli kuwa umebadilika bali umemaliza "kulea" na huu ndio wakati wako wa kufurahia "uanamke" wako japo umegonga miaka 50na.
Sasa mie bana, nishafanya yote hayo nilipokuwa in my 20s....well ukitoa hizo routine za kujali Ngozi (nazifanya sasa).....hata nikirudi "shule" nitaendelea tu kutupia Magauni ya Khanga na Vitenge kwa heshima ya Wanangu na Baba yao na Taifa kwa ujumla!.....natania hapo kwenye Vazi.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Baada ya kupiga mahisabati nadhani by the time nagonga Miaka 50 Mwenye enzi Mungu akibariki mwanangu wa Pili (mwisho) atakuwa kwenye Teen kati hivi na huo ndio utakuwa muda mzuri.
Nia sio kupanda Cheo au kugombea Uwaziri(Ubunge) la hasha! Ni kutimiza Malengo niliyojiwekea kuwa kabla sijazeeka niwe na kaelimu katika levo ya "Udaktari" Dk Dinah blablabla.
Sasa angalau mie nilisomaga (si ndio nkachelewa kuzaa!Nilitaka kula life kabla ya Majukumu).....Mambo ya kutoka Binti wa_____ to Mke na Mama wa_____ in my early 20s haikunivutia....Ningeishi Mimi kama mimi lini sasa eti?!!!
Anyway, kwa wale "baadhi" walioamua kuanza na Mke na Mama wa_____ hu kurudi "shule" baada ya watoto kukua which ni kitu kizuri ila unakuwa "hujayafaidi" maisha ya Usichanani....ule uhuru wa kutokuwa na Majukumu au kufikiria watoto na Mumeo kwenye kila maamuzi ufanyayo.
Baada ya kumaliza malezi ya watoto na kurudi "Darasani", Mwanamke (Wake) huongeza ile hali ya kujiamini kitu ambacho huwa kinawakera sana Wanaume (Waume) na kuwapotezea hali ya kujiamini.
Unakaa Darasani na Vijana eeh....(Wanaovutiwa na Wamama wenye uzoefu hihihihihihi).....Mwanamke unaaza kujisikia na kujiona bado wamo....mara Gym inaanza, Mara routine za Skin care ambazo hujawahi kuzifanya(ulikuwa busy na malezi ya watoto)....mara mavazi na ulaji vinabadilika!
Sio kwamba mwanamke unataka kutoka na Dogo-dogo la hasha! na si kweli kuwa umebadilika bali umemaliza "kulea" na huu ndio wakati wako wa kufurahia "uanamke" wako japo umegonga miaka 50na.
Sasa mie bana, nishafanya yote hayo nilipokuwa in my 20s....well ukitoa hizo routine za kujali Ngozi (nazifanya sasa).....hata nikirudi "shule" nitaendelea tu kutupia Magauni ya Khanga na Vitenge kwa heshima ya Wanangu na Baba yao na Taifa kwa ujumla!.....natania hapo kwenye Vazi.
Babai.
Mapendo tele kwako...
Comments