Bari gani?
Hizi Kesi na Hukumu zinazotolewa huku dhidi ya "vibabu" waliobaka au ku-abuse wasichana wadogo miaka 40 iliyopita zinaudhi eti!
Unaeza sema "masikini vibabu vya watu vinafungwa bure kwa makosa ya miaka ile".....au ukajiuliza "hao wanawake walikuwa wapi tangu enzi zile kupeleka Mashtaka yao".
Well! Huwezi kuelewa mpaka uwe umepitia huko au wewe ni mwanamke na unakuwa targeted kwasababu tu una Matiti na Uke.
Sipendi kulinganisha lakini linapokuja suala la ku-abuse wanawake kingono hasa sehemu za kazi Tz, mimi ni mmoja kati ya wengi ambao tulitishiwa kufukuzwa (kunyimwa ajira ya Kudumu) kama tutakataa kujitoa kimwili.
Wenzangu sijui, lakini mie na misimamo yangu nikamwambia "unikome ka' ziwa la mama yako na sina shida na Kazi yako".....nikatoka, mefika nyumbani nikaenda kumshitaki kwa Mama na Baba (hihihihi hapo nilikuwa Binti wa miaka 25).
Sijui sheria ya Unyanyaswaji wa Kijinsia na Ubakaji ilivyo Tanzania, ila ingezingatiwa na wahusika kufuatilia kesi za namna hiyo ingekuwa vema sana.
Si Uinglishini tu bali kila mahali Duniani. Imekuwa tabia ya walio kwenye "nafasi" fulani kunyanyasa wenye mahitaji ya kupata kazi au kupanda cheo.
Wake kwa waume wanafanya uchafu huo, lakini wanaume wanaongoza. Ingewezekana watu tukaitwa kutoa maushahidi ya Ushenzi wa watu sehemu za kazi ili wafungwe ingependeza sana.
Jamaa (sex abusers) mmoja yupo Ikulu sasa hivi na Mwingine amekuwa mwanaharakati hihihihiihihi Possibly bado wanatishia watu(they are both ill, well Old).
Wasichana walikuwa wanajitolea kwao na kuishia kulalamika na kujipa matumanini "sasa tufanyeje na kazi tunaitaka" aiiiii Elimu yangu na utendaji wangu utanipatia kazi, sio mwili wangu.
Anyway....kuna majamaa nawasubiri hapa tangu saa mbili, hawajaonekana mpaka sasa (saa Nane).
Kuna zile ahadi za "nitakuja kati ya saa Mbili na Saa kumi jioni" unazijua? Yaani unapotezewa siku nzima kumsubiri mtu ambae huna uhakika atakuja mida gani?
Nikuache kwa sasa....
Mapendo tele kwako...
Hizi Kesi na Hukumu zinazotolewa huku dhidi ya "vibabu" waliobaka au ku-abuse wasichana wadogo miaka 40 iliyopita zinaudhi eti!
Unaeza sema "masikini vibabu vya watu vinafungwa bure kwa makosa ya miaka ile".....au ukajiuliza "hao wanawake walikuwa wapi tangu enzi zile kupeleka Mashtaka yao".
Well! Huwezi kuelewa mpaka uwe umepitia huko au wewe ni mwanamke na unakuwa targeted kwasababu tu una Matiti na Uke.
Sipendi kulinganisha lakini linapokuja suala la ku-abuse wanawake kingono hasa sehemu za kazi Tz, mimi ni mmoja kati ya wengi ambao tulitishiwa kufukuzwa (kunyimwa ajira ya Kudumu) kama tutakataa kujitoa kimwili.
Wenzangu sijui, lakini mie na misimamo yangu nikamwambia "unikome ka' ziwa la mama yako na sina shida na Kazi yako".....nikatoka, mefika nyumbani nikaenda kumshitaki kwa Mama na Baba (hihihihi hapo nilikuwa Binti wa miaka 25).
Sijui sheria ya Unyanyaswaji wa Kijinsia na Ubakaji ilivyo Tanzania, ila ingezingatiwa na wahusika kufuatilia kesi za namna hiyo ingekuwa vema sana.
Si Uinglishini tu bali kila mahali Duniani. Imekuwa tabia ya walio kwenye "nafasi" fulani kunyanyasa wenye mahitaji ya kupata kazi au kupanda cheo.
Wake kwa waume wanafanya uchafu huo, lakini wanaume wanaongoza. Ingewezekana watu tukaitwa kutoa maushahidi ya Ushenzi wa watu sehemu za kazi ili wafungwe ingependeza sana.
Jamaa (sex abusers) mmoja yupo Ikulu sasa hivi na Mwingine amekuwa mwanaharakati hihihihiihihi Possibly bado wanatishia watu(they are both ill, well Old).
Wasichana walikuwa wanajitolea kwao na kuishia kulalamika na kujipa matumanini "sasa tufanyeje na kazi tunaitaka" aiiiii Elimu yangu na utendaji wangu utanipatia kazi, sio mwili wangu.
Anyway....kuna majamaa nawasubiri hapa tangu saa mbili, hawajaonekana mpaka sasa (saa Nane).
Kuna zile ahadi za "nitakuja kati ya saa Mbili na Saa kumi jioni" unazijua? Yaani unapotezewa siku nzima kumsubiri mtu ambae huna uhakika atakuja mida gani?
Nikuache kwa sasa....
Mapendo tele kwako...
Comments