...wa Tendo tayari kwa "cha" Asubuhi. Niligusia kuwa baadhi yetu(mie) huwa hatuogi baada ya Tendo Usiku, tunalala nayo ili kuachia "nature" ifanye yake(itoke yenyewe) pia ili kutunza Utamu si eti! Maana ukikimbilia kuoga unasahau hata kama ulipata!
Inategemea na Imani yako, pia inategemea unaichukuliaje Manii. Mie Binafsi Manii sio Uchafu ikiwa mwenye nayo ni Mume wangu. Ikiwa ni Mpita Njia kwamba hamna uhusiano ambao ni "exclusive na serious" hakika Manii ni Uchafu na kamwe Usikubali yabaki Ukeni which means post hii haikuhusu hihihihi natania usiondoke mwaya!
Sijui kama unajua ila Ukikaa na Manii K-ini unakuwa hatarini kuwa "over relaxed" huko chini hivyo ikifika Asubuhi hutofurahia Tendo kiviiiiiiiiile! Hata wakati wa kusaka Mimba hunashausiwa kukaa nayo kwa Dakika 5-15 ukiwa umejinua ili kuharakisha prosesi.
Pia ukikaribia kujifungua unashauriwa kucha Manii humo muda mrefu uwezavyo ili kukusaidia wakati wa kujifungua...kwamba Uke hautokuwa Sore sana as Misuli itaongezewa m-relax-isho na Manii.
Sasa tunafanya nini basi ili kurudisha Uke kwenye hali yake ya Kawaida kabla ya Tendo lililopita?
Kama wewe ni msubiri "nature" i-take place(Uume kujitoa wenyewe Ukeni baada ya kulegea) basi mara tu baada ya kutoka (kama hujapitiwa na usingizi, kwani inategemea na Mkao) ngenda kajiswafi kwa kutumia Maji ya baridi...baada ya kujikausha, fanya kama unataka kuchuchumaa kisha inuka na bana Misuli ya Matako...rudia mara 15-30.
Ukirudi Kitandani lala kama ulivyotoka, kwa maana mtupu....sijui Utupu unafanyaje kazi kwenye hili la kurudisha Uke katika hali yake ya kwaida ila trust me ni tofauti kabisa na ukilala na Chupi sijui Pajama. Inabidi wataalam walifanyie hili kazi/Uchunguzi.
Najua unaweza kusema "sisi tuna watoto, siwezi kulala Uchi"...kwani kwenu hukupewa Khanga? hihihihi Mwanamke Ghanga Moja, wee baki hapo na U-black American wako sijui U-feminist....upo kwenye Ndoa Bibi lala mtupu huku pembeni weka Khanga/Mtandio! Watoto wakija jihifadhi. Nisikuchoshe, jaribu uongeze furaha ya Tendo la Asubuhi.
Post ijayo tuone faida za Kufanya Mapenzi Asubuhi(najikomiti eeh)....Nathamini na kuheshimu Muda wako hapa, ahsante kwa kuichagua blog hii.
Babai.
Comments