Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2015

Usenge + Ubunifu wa Mavazi=Skinny Models

Unaamini katika Chunguzi za Kisayansi? Mie naamini zile za Kitibabu(ambazo ni Sayansi pia.....kabla hujanijaji, tambua kuwa kuna Sayansi za aina nyingi....Viumbe,Mimea,Siasa,Kemikali n.k). Natumaini wewe ni mzima kabisa. Kama ujuavyo suala la Waonyesha mavazi/Wanamitindo kuwa Size Sufuri ni pana na mpaka likaingizwa kwenye Siasa(likafeli). Lakini bado hawa wafanya biashara watumiao Miili yao kuonyesha mavazi(Models/Wanamitindo) wanaandamwa kutokana na wembamba wao. Baadhi ya watu "mtaani" wanadai kuwa Wabunifu wanachagua "unreal women" kwasababu wao(most of them) ni Mikorosho/Wasenge na hivyo nguo wanazobuni ni za kutosha Wavulana na sio Wanawake......Unabisha?, endelea kusoma sasa. Kiasilia Mwanaume anaevutiwa na kupendeza kwa mwanamke atazingatia Umbile la Mwanamke, kwamba juu Mdogo halafu chini mkubwa/pana(Peasi)  au Juu mkubwa , kati mdogo halafu chini mkubwa pia(namba nane)....tuliobaki ni WAVULANA hihihihihi. Sasa kwa Msenge ambae ni Mbu

Kuoga Usiku Vs Asubuhi/Mchana!

Haiyaaa! Kiangazi Kimeisha na Mvua ime-cotton fire, hii sio sababu ya wewe kuacha kuoga. Usafi wa Mwili ni muhimu kama vilivyo vitu vingine Maishani. Lakini je wewe unaoga mara ngapi kwa Siku? na je kuna ulazima wa kuoga zaidi ya mara moja kwa Siku? Wanawake tunapewa/peana PRESHA kuoga-oga  mara nyingi na tunaambiwa tusipooga tunatoa harufu kwa sababu ya Maumbile yetu, lakini wanasahau kuwa kunakosababisha harufu sio mwili as in Ngozi, bali kwapa na kunako(Nyeti) ambazo hata wanaume wanazo na zinatema harufu pia ikiwa hazitaoshwa. Sasa nikianzia mwisho, hakika kuna ulazima wa kuoga zaidi ya mara Moja kwa siku, Inategemea unafanya kazi gani na wapi, unatumia Usafiri gani(kubanana  kwenye daladala/train hakika unabeba wadudu) na bila kusahau hali ya hewa. Ikiwa unafanya kazi Hospitali(una deal na maambukizo), unaishi mahali penye joto sana au kazi yako inakufanya utoke jasho sana mpaka unanata basi wewe oga mara zote unazohitaji. Kitibabu tunapaswa kuoga angalau

Kwa Mliojipiga/Lipua/Fuata Sheria Ughaibuni....

....yote Maisha na kila mtu anayatafuta kwa namna yake sio(usidhani nakukebehi, naelewa sana). Sasa kama ilivyokawaida ya Mie, ninapohisi kuwa nimejifunza huwa sio mchoyo ku-share. Hujambo lakini? Unafurahia simu yakoo Mpya(smartphone) ambayo ipo loaded na ma-Apps mwengine wala hujui kazi yake(unadhani yanafanya Simu yako kufanya kazi vema) kumbe katika hali halisi sivyo. Baadhi ya Apps(zile zinazowekwa kila unapo Update Software) huwa zinawekwa na Mitandao husika ili kufuatilia Nyendo zako. Tangu zamani wamekuwa wakifuatilia ili kuboresha Huduma za Mawasiliano, lakini kutokana na uwingi wa Uovu hasa kutoka kwa wenzetu wale Wauaji kwa jina la Dini yao takatifu, hali imekuwa mbaya linapokuja suala la "privacy". Sio Kampuni za Simu tu ndio zinatabia(banwa Kishria) bali pia Facebook, Google na Whassap wanatabia ya kutunza yote unayo-post kwa ajili ya "kuboresha" Huduma zao (wanamaanisha kutunza Data uwekazo kama Ushahidi pale  mambo yamebuna na Serikal

Pale unapokuwa Mke mwema....

....halafu unaonekana sio mwanamke "kamili", kwanini? kwasababu hulalamini-lalamiki pale mumeo anapoacha bafu chafu baada ya kuoga au pengine anachelewa kuamka na kuacha kitanda kipo shagala bagala....(hizi sio kazi za mwanamke ni usafi), huombi-ombi pesa ya manunuzi, Vipodozi wala Salon. Inawezekana upo hivyo kutokana na Malezi/mafunzo uliyopitia au huenda umejifunza kupitia Blogs, maana Siku hizi kuna kila aina ya maelezo yanayotuelekeza namna ya kuwa  Wake(na waume) wema, mengine ni mazuri na mengine yanapotosha.....Akili kumkichwa unapoamua kuchukua na  kujaribu ulichokisoma! Ulalamishi na kutaka jambo/kitu kifanyike pale tunapotaka  ndio  inatufanya wanawake kuwa wanawake (ni sehemu ya uanamke), sasa hayo yakikosekana inakuwa kama vile Mumeo ameoa  mwanaume mwenzie ahahahaha. I mean sawa kujitegemea kiuchumi na kuepuka ulalamishi.....lakini pia tukumbuke kuwa baadhi ya Wanaume hupenda Changamoto Ndoani (sio za kugombana na muumizana mioyo/hisia)! Nat

Urijali/Uanaume Kamili/wa Kweli!

.....hapa lazma nivabe! Lakini kwasababu napenda kuchangia "knowledge" sio mbaya nikikuelezea nilichojifunza. Inawezekana kabisa hukubaliani na ninachotaka kuandika, basi angalau nipe nafasi na unisikilize(soma na share....ahsante). Unajua pale unaanzisha Topic halafu watu wanaivamia na kuaanza Malumbano (ya busara) halafu wewe upo pembeni unafurahia huku  unachukua "Material", basi ndivyo ilivyokuwa. Wengi tunaamini(mie mmoja wao mpaka Wiki Majuzi) kuwa Mwanume Rijal/Kamilii ni yule mwenye Uwezo wa Kusimamisha Uume kwa muda Mrefu au mwenye uwezo wa Kusimama na kufanya mapenzi na kufanikiwa kummimba mwanamke. Baadhi hudhani kuwa Wasenge sio Marijali kwasababu hawapendi wanawake aka hawawezi kuingia ukeni sababu hawawezi kuinuka(Hanithi).....kama Kusimamisha kwa muda mrefu ni Urijali basi hawa  majamaa ni MARIJALI haswa!! Achana na hili. Sehemu ndogo wanaamini kuwa kama Mwanaume  ni Rijali mwanamke mmoja hamtoshi....daah! Ujinga Mzigo. Hawa wan

Knowledge vs Ego....

Kwa maCeleb Ego hujionyesha wazi kwenye mahojiano ya moja kwa moja. Baadhi wanadhani kuwa ni wao tu ndio wanazo hizo Ego, nitakupa mfano na pengine kukusaidia(kama hujui) kuitambua kutoka kwa Mwenza wako. Kwa mimi na wewe Ego zetu hujitokeza zaidi pale tunapogombana. Ndoani/Mahusiano huwa tunagombana sana eti? Wakati mwingine ugomvi unakuwa hauna hata maana. Ujue kuna ile kugombana kwasababu mmoja wenu kafanya kosa kubwa kama vile umegundua kuwa amekuwa akipeleka Pesa mahali ambapo hupajui! Kwa mfano. Sio kwanini hakupokea simu?!! Na ikiwa mnawatoto basi mnaweza kugombana kwasababu mmoja wenu anahisi kuwa anaingiliwa kwenye kona yake ya malezi(wanaume) au mwingine(sisi wakimama) kuhisi kuwa watoto wanaonewa au mwenzio hatoi muda kuwaelewa watoto na badala yake anatanguliza kufoka (hasira) kwa watoto. Katika hali halisi kama mmoja wenu anawakilisha linalomkwaza kwa namna ya kawaida(kukereka bila hasira/kufoka) na mwingine kusikiliza hakutokuwa na ugomvi. Inaitwa MAWASILIANO/K

Ngono ya Usiku mmoja M'ke vs M'me....

...nani Malaya? Hello there. Kwenye harakati za Mpito za Ujana ni wazi unajifunza kwa kufanya mambo mengi kwa kupatia au kukosea. Sio mara zote unakosea ili kujifunza(usifanye makosa makusudi kwa kisingizo cha kujifunza), wakati mwingine unakosea kwa Uzembe(kutokujali). Kama ilivyo kwenye kila kipindi cha  " Mpito" mambo huwa magumu.....wakati mwingine mtu unajikuta unakata tamaa na kuamua kuwa LIWALO NA LIWE na hapo ndio maamuzi ya kizembe yanapojitokeza. Inaweza kuwa Pombe au Utumiaji wa madawa na Ngono Holela au vyote. Inawezekana kabisa kufanya hayo ni katika hali ya kutafuta "amani" au kuondoa "msongamano wa mawazo" na pengine ku-fit in na jamii inayokuzunguuka wakati huo wa Ujana wako. Kwaharaka haraka unaweza kudhani umepata "tiba" lakini katika hali halisi unajiongezea shida/majukumu kabla ya Muda wako. Sasa, kutokana na hali ilivyo siku hizi (Mambo ya Haki sawa sijui Usawa) inafanya mambo mengi ambayo awali yalifanyw

Weusi wa Ngozi sio Uchafu....

....ila usipokuwa muangalifu kwenye kuchagua Rangi za Mavazi/Nywele hakika utaonekana Mchafu(huvutii), hii  haina kujiamini.....nadhani ni muhimu kuchagua Rangi zinazoendana na Rangi ya Ngozi  yako. Mambo?!! Kuna siku nipo na mishughuliko yangu ya ndani wakati Asali wa Moyo anatazama Mashindano ya Tenesi ya Wibledoni. Anapendezwa sana na wale Williams Dadaz....mmoja wao alikuwa anacheza. Mwenyewe anafurahia uchezaji wake (au kuona Tako  kila kisketi chake kinapoinuka hihihihi maana mdada mMashallah). Sina hili wala lile nasikia mwenznagu anawasifia wadada Williams kwa kutokuwa kama Celebs wengine.....mie nkasema hao sio ma-Celeb ni Sports Stars (kwa Kiswahili ndio tunasemaje vile?) ila Media inalazimisha kuwaweka kwenye Kundi la M-aceleb kitu ambacho sio haki kwasababu wapo walipo kutokana na kazi/kujituma kwaoo na sio kuonekana kwenye Tv au kuuza Haidthi kwenye magazeti au....oh well kwa Umalaya. Katika kufunga maelezo yangu nikamalizia na....kiukweli mie siwaelewi

Je Unaogopa Kujaji watu(wenzio)?

Habari yako? Nilikuwa Likizo ya Kiangazi.....katika hali halisi  nilipaswa kukujulisha lakini nikahisi kama vile nitakuwa najionyesha au napitiliza ku-share so nikapiga kimya. Anyway habari kwa ufup,  kama bado unajali ni kwamba Madoa ya Tetekuwanga(Chickenpox) yamepungua Weusi. Ujisedhani hali ya Hewa ya UK inafanya Ngozi kutakata haraka ndugu, nilipewa Mkorogo(andikiwa dawa ya kuondoa Weusi) nitumie kwa Muda wa Wiki 8. Baada ya kugusa Wiki ya Pili nikaona Vijitundu vya ngozi(pores) vinapanuka! Aiiii nikautupilia mbali Mkorogo. Duania ya leo inamengi na kila kukicha tunaongezewa sheria za namna ya Kuishi vizuri au kuishi na watu kwenye jamii. Tunaambiwa tusiwajaji wenzetu kitu ambacho sio rahisi kwa sababu kujaji ni asili ya  mwanadamu, pia bila kujaji hakika utakuwa unafanya maamuzi mambovu na hivyo kuishi ukilalama "kwanini mimi". Nimekwishawahi kukuambia hapa(kwenye blog hii) kuwa mie huwa najaji watu/mtu kama wewe ila tofauti yangu mimi na wewe