...Habariyo?
Wanawake tunajulikana kuwa tunapenda sana kununa-nuna si eti? Lakini hata Wanaume pia hununa, ila wao huwa hawaiti "kununa" bali "nataka kuwa peke yangu ili nifikirie" au pengine anaweza kukuambia hajisikiii vizuri au anamawazo.
Sote tumetofautiana, jambo dogo kwako linaweza kuwa kubwa sana kwangu, hali kadhalika kauli yako ambayo wewe unadhani ni ya kawaida inaweza kuwa Tusi kuu kwa mwenzio na hata kuhatarisha Ndoa/Uhusiano wenu. Inategemea na Malezi/Makuzi, Mazingira, Uzoefu n.k.
Wakati mwingine Kununa is all you need! Biga Mnuno kwa Siku 5(ukizidisha Mkeo/Mumeo ataku-cheat hihihihihi siku ya 6 kidate na ya Saba one night stand....Hisabati Muhimu).....the rule(Bibi yangu alisema), nuna Maximum Siku Tano tu ukizidisha huna Mume/Mke!
Kununa huko hupunguza ukaribu kati yenu kama Mke na Mume, unapokea majibu kwa mkato, ukiingia tu ndani, mmoja anahisi usingizi ghafla hihihihihi....pia hukupa hisia ya "nampenda" lakini sipendezwi nae...ananiuDhiiii( ndio love___ but don't like___?)....Kizungu sijui, Kiswahili sijui....nipo nipo tu sijui kama naenda au narudi....anyway!
Kununa kwako huwa hakuna faida(Machoni mwao) lakini huwa kuna sababu ya Msingi tu kwanini hasa Mkeo/Mumeo kakununia. Unajua unapokuwa kwenye "Ngazi" ya Urafiki na mapenzi ni rahisi kupata nafasi ya "kufikiria" Tusi au kosa/kwazo alilokufanyia Rafikio wa Kiume/Kike....so hata ukinuna utakuwa kwenu na yeye Kwao.
Lakini unapokuwa kwenye Ndoa na Mnaishi kwenye "Kanyumba"....Nafasi hiyo hupotea, huwezi kuikimbia Nyumba yako kila mara ambapo Mumeo/Mkeo wako anakuudhi! Mbaya zaidi ikiwa wewe kama Mie hapa, unaishi Ughaibuni....hakuna "kwenu" kule alipo Mama yako ambako ungeweza kwenda na kupumzika kidogo ili kufikiria mpaka Hasira ziishe(Uache kununa) hivyo unaishia kupishana na Mwenza wako bila Jambo wa Habari.
Kwa kawaida, Mnapopishana Maneno na kupelekea Mabishano na labda mmoja wenu hatoi nafasi ya mwingine kujieleza, ili kukunyamazisha....anatupia "tusi" na Maneno mabaya ambayo pengine yataumiza Hisia zako.....Maumivu hayo hukufanya uamini kuwa Mumeo/Mkeo atagundua kuwa amekukwaza/kosea na hivyo atakuomba Msamaha.
Siku inakaribia kuisha na hakuna Msamaha wala Dalili yake.....kinachofuta hapo ni "Kula Bati"....yaani unamnunia....akiwahi kulala wewe una-stay late watching Tv, aki-stay late wewe unaenda kusoma Kitabu. Hakuna kula pamoja wala kupika(kwa Mwanamke kupika ni sehemu ya kupendezwa na mwenza, kama hakupendezi kwa maudhi yake kwanini Umpikie eti?) kwa Wanaume huja na chakula chao au hula Nje(kwanini ale chakula chako wakati hujamuomba msamaha).
Sasa kuna watu wameumbwa kusoma wenza wao na kugundua kuwa wamekosea mahali, wengine huuliza "nimekukosea nini Mpenzi, mbona unaonekana haupo sawa" na wengine huwa hawana habari mpaka uwaambie makosa yako(kama vile wewe ni Mzazi kwao). Wengi hasa Wanaume hawajui au niseme Wazito kuomba Msamaha? au Wanaomba Msamaha kwa vitendo?
Haombi msamaha mpaka umwambie amekukosea wapi, which inaondoa uzito wa Msamaha wake.....kwasababu Msamaha mzuri ni ule unaotoka kumoyo bila kulazimishwa au kuambiwa sio ndio?!!
Nukta ya Post hii ni hivii.....unapomnunia mwenzio kwasababu amekuudhi sio Utoto na wala sio Ujinga. Ni sehemu muhimu kwako ili kuweza kutuliza Akili na Hisia zako zilizoumia na kufikiria Kosa(kauli yake chafu iliyo kukwanza) na hivyo kuwakilisha issue Mezani tena katika hali ya Upole lakini Firm.
Fundisha Mwanao umuhimu wa Kuomba radhi/Msamaha, na ikiwa wewe Mzazi umemkosea mwanao usisite kumuomba msamaha, kwani "tufanyayo kwa Vitendo ndio hufanywa/igwa na Watoto wetu"-Christian Bwaya.
Shukurani kwa Muda wako hapa ambao nauthamini pia Ahsante kwa kuichagua Blog hii.
Baibai.
Wanawake tunajulikana kuwa tunapenda sana kununa-nuna si eti? Lakini hata Wanaume pia hununa, ila wao huwa hawaiti "kununa" bali "nataka kuwa peke yangu ili nifikirie" au pengine anaweza kukuambia hajisikiii vizuri au anamawazo.
Sote tumetofautiana, jambo dogo kwako linaweza kuwa kubwa sana kwangu, hali kadhalika kauli yako ambayo wewe unadhani ni ya kawaida inaweza kuwa Tusi kuu kwa mwenzio na hata kuhatarisha Ndoa/Uhusiano wenu. Inategemea na Malezi/Makuzi, Mazingira, Uzoefu n.k.
Wakati mwingine Kununa is all you need! Biga Mnuno kwa Siku 5(ukizidisha Mkeo/Mumeo ataku-cheat hihihihihi siku ya 6 kidate na ya Saba one night stand....Hisabati Muhimu).....the rule(Bibi yangu alisema), nuna Maximum Siku Tano tu ukizidisha huna Mume/Mke!
Kununa huko hupunguza ukaribu kati yenu kama Mke na Mume, unapokea majibu kwa mkato, ukiingia tu ndani, mmoja anahisi usingizi ghafla hihihihihi....pia hukupa hisia ya "nampenda" lakini sipendezwi nae...ananiuDhiiii( ndio love___ but don't like___?)....Kizungu sijui, Kiswahili sijui....nipo nipo tu sijui kama naenda au narudi....anyway!
Kununa kwako huwa hakuna faida(Machoni mwao) lakini huwa kuna sababu ya Msingi tu kwanini hasa Mkeo/Mumeo kakununia. Unajua unapokuwa kwenye "Ngazi" ya Urafiki na mapenzi ni rahisi kupata nafasi ya "kufikiria" Tusi au kosa/kwazo alilokufanyia Rafikio wa Kiume/Kike....so hata ukinuna utakuwa kwenu na yeye Kwao.
Lakini unapokuwa kwenye Ndoa na Mnaishi kwenye "Kanyumba"....Nafasi hiyo hupotea, huwezi kuikimbia Nyumba yako kila mara ambapo Mumeo/Mkeo wako anakuudhi! Mbaya zaidi ikiwa wewe kama Mie hapa, unaishi Ughaibuni....hakuna "kwenu" kule alipo Mama yako ambako ungeweza kwenda na kupumzika kidogo ili kufikiria mpaka Hasira ziishe(Uache kununa) hivyo unaishia kupishana na Mwenza wako bila Jambo wa Habari.
Kwa kawaida, Mnapopishana Maneno na kupelekea Mabishano na labda mmoja wenu hatoi nafasi ya mwingine kujieleza, ili kukunyamazisha....anatupia "tusi" na Maneno mabaya ambayo pengine yataumiza Hisia zako.....Maumivu hayo hukufanya uamini kuwa Mumeo/Mkeo atagundua kuwa amekukwaza/kosea na hivyo atakuomba Msamaha.
Siku inakaribia kuisha na hakuna Msamaha wala Dalili yake.....kinachofuta hapo ni "Kula Bati"....yaani unamnunia....akiwahi kulala wewe una-stay late watching Tv, aki-stay late wewe unaenda kusoma Kitabu. Hakuna kula pamoja wala kupika(kwa Mwanamke kupika ni sehemu ya kupendezwa na mwenza, kama hakupendezi kwa maudhi yake kwanini Umpikie eti?) kwa Wanaume huja na chakula chao au hula Nje(kwanini ale chakula chako wakati hujamuomba msamaha).
Sasa kuna watu wameumbwa kusoma wenza wao na kugundua kuwa wamekosea mahali, wengine huuliza "nimekukosea nini Mpenzi, mbona unaonekana haupo sawa" na wengine huwa hawana habari mpaka uwaambie makosa yako(kama vile wewe ni Mzazi kwao). Wengi hasa Wanaume hawajui au niseme Wazito kuomba Msamaha? au Wanaomba Msamaha kwa vitendo?
Haombi msamaha mpaka umwambie amekukosea wapi, which inaondoa uzito wa Msamaha wake.....kwasababu Msamaha mzuri ni ule unaotoka kumoyo bila kulazimishwa au kuambiwa sio ndio?!!
Nukta ya Post hii ni hivii.....unapomnunia mwenzio kwasababu amekuudhi sio Utoto na wala sio Ujinga. Ni sehemu muhimu kwako ili kuweza kutuliza Akili na Hisia zako zilizoumia na kufikiria Kosa(kauli yake chafu iliyo kukwanza) na hivyo kuwakilisha issue Mezani tena katika hali ya Upole lakini Firm.
Fundisha Mwanao umuhimu wa Kuomba radhi/Msamaha, na ikiwa wewe Mzazi umemkosea mwanao usisite kumuomba msamaha, kwani "tufanyayo kwa Vitendo ndio hufanywa/igwa na Watoto wetu"-Christian Bwaya.
Shukurani kwa Muda wako hapa ambao nauthamini pia Ahsante kwa kuichagua Blog hii.
Baibai.
Comments